Ninunue lori ya kichina 0 KM au Scania used from Saab Scania

Ninunue lori ya kichina 0 KM au Scania used from Saab Scania

Good idea mkuu umempa . Naona siku hizi kuna Scania zinatoka South Korea ni LHD anunue hizo au anunue za Scania za kwa Madiba aende mwenyewe kwenye yard la sivyo atakuja kulia hapa na fake website za Wa Nigeria
Shida ya gari za south ni kodi pia , maana nyingi ni 6x4, kwa 460 kodi inashoot hadi 30milions plus .
Gari iliyosimama kule si chini lya laki 6 hadi 8 rands, bado police crearance na mafuta hadi tunduma ,
Usinunue gari ya south kwenye mtandao, ili uwe salama itakubidi ufanye safari mbili , za basi au ndege ,safari ya kwanza ni kwenda kuona au kuchagua gari, mara nyingi gari zipo gauteng ,pretoria na johanessburg, ukisha chagua sasa ndo unachukua bank details za muuzaji , kama una mtu wa kufanya transfer Tanzania ni poa , la sivyo itakulazimu urudi kufanya transfer ,ndo ukafate chombo, hakikisha gari imekuwa deregistered au ipo kwa jina lako kutoka huko
 
Wachina wajanja sana sit wamefanya isimpe furaha dereva hata kidogo ili awe makini infacts sit za howo hazikupi comfort!
Huo sio ujanja, hiyo ni weakness. Kumchosha dereva na kumfanya atumie akili nyingi na nguvu kunamfanya asiweze tembea umbali mrefu kwa ufasaha. Hakuna kampuni inatengeneza gari na kuiondoa comfortability ikisema ni ujanja, hata vitani hamna kitu kama hicho. Fatigue ya dereva huchangia ajari. Wachina wanatakiwa improvement ya comfort kwenye magari yao.

Kwa OP, nina uhakika kutoka kwa watu sahihi kwamba kampuni yoyote inayoanza hizi kazi ichukue Howo 0 km ianze nazo hazitosumbua kwa rate kubwa kuliko Scania mtumba. Iko hivi, Howo mpya inakupa makadirio sahihi ila Scania mtumba unabet condition yake. Pia Howo zina nguvu, mafuta kidogo na spare parts sio gharama kubwa. Fanya mahesabu kupata return on investment ukiona Howo inakulipa nunua na usihesabie after sales value kwa maana haina guarantee ya kuuzika kwa urahisi. Fanya kama ikishatumika kulingana na lifespan yake inakuwa written off.

Kati ya gari sita nunua Howo nne na Scania used mbili ili upate uhakika nini utafanya kwenye next move.
 
Huo sio ujanja, hiyo ni weakness. Kumchosha dereva na kumfanya atumie akili nyingi na nguvu kunamfanya asiweze tembea umbali mrefu kwa ufasaha. Hakuna kampuni inatengeneza gari na kuiondoa comfortability ikisema ni ujanja, hata vitani hamna kitu kama hicho. Fatigue ya dereva huchangia ajari. Wachina wanatakiwa improvement ya comfort kwenye magari yao.

Kwa OP, nina uhakika kutoka kwa watu sahihi kwamba kampuni yoyote inayoanza hizi kazi ichukue Howo 0 km ianze nazo hazitosumbua kwa rate kubwa kuliko Scania mtumba. Iko hivi, Howo mpya inakupa makadirio sahihi ila Scania mtumba unabet condition yake. Pia Howo zina nguvu, mafuta kidogo na spare parts sio gharama kubwa. Fanya mahesabu kupata return on investment ukiona Howo inakulipa nunua na usihesabie after sales value kwa maana haina guarantee ya kuuzika kwa urahisi. Fanya kama ikishatumika kulingana na lifespan yake inakuwa written off.

Kati ya gari sita nunua Howo nne na Scania used mbili ili upate uhakika nini utafanya kwenye next move.
Ushauri mzuri mkuu .
 
Shida ya gari za south ni kodi pia , maana nyingi ni 6x4, kwa 460 kodi inashoot hadi 30milions plus .
Gari iliyosimama kule si chini lya laki 6 hadi 8 rands, bado police crearance na mafuta hadi tunduma ,
Usinunue gari ya south kwenye mtandao, ilinuwe salama itakubidi ufanye safari mbili , za basia au ndege ,sadari ya kwanza ni kwenda kuona au kuchagua gari, mara nyingi gari zipo gauteng ,pretoria na johanessburg, ukisha chagua sasa ndo unachukua bank details za muuzaji , kama una mtu wa kufanya transfer Tanzania ni poa , la sivyo itakulazimu urudi kufanya transfer ,ndo ukafate chombo, hakikisha gari imekuwa deregistered au ipo kwa jina lako kutoka huko
Mkuu hizo Howo ni ipi nzuri ni 6 times 4 au 6times 2
 
Mkuu hizo Howo ni ipi nzuri ni 6 times 4 au 6times 2
Tunaita 6 by 4 au 6 by 2, namba 6 ikimaanisha matair sita na by 4 maana yake matairi manne ndo yanatoa msukumo , maana yake hii gari ina double diff, 6by 2 maana yaje gari ina matairi 6 ila mawili ndo yanatoa mzunguko, maana yake hii gari ina difu moja
Mchina hana configurqtion ya 6 by 2 kwenye horse zake
 
Huo sio ujanja, hiyo ni weakness. Kumchosha dereva na kumfanya atumie akili nyingi na nguvu kunamfanya asiweze tembea umbali mrefu kwa ufasaha. Hakuna kampuni inatengeneza gari na kuiondoa comfortability ikisema ni ujanja, hata vitani hamna kitu kama hicho. Fatigue ya dereva huchangia ajari. Wachina wanatakiwa improvement ya comfort kwenye magari yao.

Kwa OP, nina uhakika kutoka kwa watu sahihi kwamba kampuni yoyote inayoanza hizi kazi ichukue Howo 0 km ianze nazo hazitosumbua kwa rate kubwa kuliko Scania mtumba. Iko hivi, Howo mpya inakupa makadirio sahihi ila Scania mtumba unabet condition yake. Pia Howo zina nguvu, mafuta kidogo na spare parts sio gharama kubwa. Fanya mahesabu kupata return on investment ukiona Howo inakulipa nunua na usihesabie after sales value kwa maana haina guarantee ya kuuzika kwa urahisi. Fanya kama ikishatumika kulingana na lifespan yake inakuwa written off.

Kati ya gari sita nunua Howo nne na Scania used mbili ili upate uhakika nini utafanya kwenye next move.
Howo inabidi utumie kama big G , ikiisha utamu tupa, usije jaribu kukarabati howo kama imeanza kusumbua.
Hakikisha kutoka upya linafanya kazi za faida ili likianza kusumbua hela yako iwe imerudi. Scania kwa upande mwingine linaweza kukupa second chance na ukatoboa, scania responds to maintanance
 
Dola 80,000 plus , irudi ndani ya miaka 3? Na faida juu?
Inawezekana. Assume apate trip 6 tu kwa mwaka na kila trip iwe dola 8,000 maana yake ana dola 48,000. Mara miaka 3 maana yake ana dola 144,000 kwa miaka 3. Kama akitoa gharama zake maana yake hiyo 80k itakuwa imerudi.
 
Habari natumaini wakongwe mko vizuri


Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji nikiwa na mpango wa kusafirisha mizigo kutoka nchini kwenda nchi jirani kwa maana DRC, Zambia, Burundi, Rwanda n.k
(Transit)

Katika kuuliza uliza nimekutana na mawazo makuu mawili ambayo yamekuwa yakinipa mawazo nikaona ni vyema niilete kwenu kwa majadiliano wakongwe

WAZO LA KWANZA

Wazo la kwanza ni kuchukua lori 0 Km kutoka kwa wachina aidha Howo au Faw

WAZO LA PILI

Wazo la pili ni kichukua scania used kutoka saab scania ambapo pale naweza kupata P360 iliyosimama

Trip ni kusafirisha makontena kuelekea maeneo kama vile Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi

Hivyo basi nataka kujua gari sahihi ambalo wakongwe mtanishauri ninunue kutokana na aina ya safari zangu hizo

Tayari Agent yupo ambaye uhakika wa kutupa tenda za kusafirisha ni uhakika

Kwa kuanza tuna mpango wa kuanza na magari sita (06) lakini upo uwezekano wa kununua mpaka kumi na mbili (12)

UTAFITI WANGU WA AWALI

Gharama za mchina na Scania hazitofautiani sana mathalan kwa mfano ukienda kwa Dr Howo pale kurasini gari N7 na tella lake ambazo ni 0 Km ni $81,000 wakati saab scania used p 360 ni Tsh 150M , ukichukua na tella la superdol na bima na kila kitu ni kama 250M ambayo ni $106,000

MANUNUZI

Mchina:Truck and trailer (both brand new) $81,000
Scania : Used and trailer (brand new) $106,000

MAFUTA

Kwa upande wa mafuta wachina kwenye mafuta wako vizuri kwa maana trip ambayo scania atatumia lita 1900 mchina anaweza kutumia lita 1700 hiyo lita 200 unakuwa umeokoa ambayo ni takribani laki sita (600,000)

Kwa maana mchina gharama za ununuzi ziko chini, uendeshaji ziko chini ila hazidumu sana kwa maana baada ya miaka yako mitano gari kwisha kazi

Ila scania gharama za ununuzi ziko juu, uendeshaji, iko juu ila zinadumu hadi miaka saba hadi nane..

Naileta hii mada kwenu kwamba je niingie kwa mchina au niingie kwa msweeden?

WHY SAAB SCANIA NA SIO KUAGIZA SCANIA KUTOKA UINGEREZA


Watu wamenishauri kuagiza scania gharama haitofautiani iwapo ukaenda kununua saab scania lakini haina guarantee unaweza agiza gari kutoka UK used limetembea km 400,000 ukaanza safari kufika chalinze tu ngoma imesizi, hapo uneshapokea mzigo wa mtu ni lazima ufanye engine overhaul na mambo mengine mengi

Hapo unakuta unapoteza mpaka 9 M kwa engine na fundi etc

Lakini pia kwa upande wa kichina ni kwamba madereva wazuri wanazikimbia sababu ya aina ya magari kiafya sio rafiki kwao hivyo ukiwa na scania kama p360 ni rahisi kupata madereva wazuri kwani talent pool ya madereva wanaotaka kuendesha hizo p360 ni kubwa pia

Hivyo basi naomba kuuliza kwa gari 6 mpaka 12, agent tayari kashakuwa spotted anaweza kutupa kazi trip ni za kwenda Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi je nishukue mchina au niingie kwa m sweeden naomba kujua sana sana technical know hows za hizi chuma mbili

Maana kuna watu wanashauri kuwa ni bora mchina na wengine wanashauri ni bora m sweeden used

Tayari eneo ambalo nitalifanya kama yard nimesha li spot ambapo ni Kibaha kwa mathias itakapokuwa makao makuu na main yard ya chuma kwa maana agent akikamilisha kila kitu chuma zinaamsha toka kibaha kwenda bandarini kupakia kisha kuamsha...

Natanguliza shukrani

C.T.UView attachment 2566531View attachment 2566532
Pitia huu uzi pia utajifunza

 
Mwenye uzoefu na Shacman please alete feedback .
Screenshot_2023-03-26-16-39-31-466_com.whatsapp.jpg
 
Inawezekana. Assume apate trip 6 tu kwa mwaka na kila trip iwe dola 8,000 maana yake ana dola 48,000. Mara miaka 3 maana yake ana dola 144,000 kwa miaka 3. Kama akitoa gharama zake maana yake hiyo 80k itakuwa imerudi.
Du !!
Kwenda likasi na sulphur kurudi na copper return trip ni dola 16000, trip inaweza kuchujua hadi miezi.miwili,
Unaweza ona ni pesa nyingi sana ila kulaza dola 6000 hiyo trip we kidume, hapo hujapata janga la kuibiwa copper , ikitokea , unarudi na deni la kutosha.
 
Du !!
Kwemda likasi na sulphur kurudi na copper return trip ni dola 16000, trip inaweza kuchujua hadi miezi.miwili,
Unaweza ona ni pesa nyingi sana ila kulaza dola 6000 hiyo trip we kidume, hapo huapata janga la kuibiwa copper , unarudi na deni la kutosha.
Nimeongelea trip sita tu kwa mwaka kiongozi. Na kama upo serious lazima ujipange. In 3 years unauza gari ulishapata hela ya gari mpya na faida juu, unaenda kuanza upya tena.
 
Sina uzoefu wa magari ila naona wafanyabishara wengi wanaoanza biashara za usafirishaji wanaanza na Scania.

Ina mafundi wengi, inatengenezeka na inavumilika.

Matajiri wanamiliki Mchina baada ya kijitosheleza kwenye Scania, Tajiri ana scania za kutosha ndio anaagiza Mchina.
 
Wachina wajanja sana sit wamefanya isimpe furaha dereva hata kidogo ili awe makini infacts sit za howo hazikupi comfort!
Aisew kumbe siti zao Ni nyoko ckujuwa mnk Kuna jamaaa alinifata tubadilishane siti nimpe yangu yeye anipe yake kwa kixingizio kuwa anakwenda masfa na mm Niko mm Niko town Happ Hapo sikumuelewa ila ndio nimegundua hilo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom