Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimchunguza sana bata hautamlaNamatafuta mjuzi anayeweza kuhack simu ya mpenzi. Anajidai ananipenda sana na nakula peke yangu. Nataka kujirishisha kabla sijam upgarde kwenda hatua nyingine.
Kuna ubaya wowote kujiridhisha na mwenendo wa mpenzi unayetaka kum upgarde? Mbona ukitaka kununua kiwanja unajirishisha ardhi au hata serikali ya mtaa kuona uhalali? Kwa nini isiwe kwa mtu unayetaka kuingia naye kwenye maisha ya kudumu.Ukimchunguza sana bata hautamla
Mkuu nama una connection nipatie PM.Aya bana
Kujiridhisha ni muhimu hasa kwenye mambo ya msingi kama tabia ila sasa isiwe too much hadi kutaka kujua kila anachofanya.Kuna ubaya wowote kujiridhisha na mwenendo wa mpenzi unayetaka kum upgarde? Mbona ukitaka kununua kiwanja unajirishisha ardhi au hata serikali ya mtaa kuona uhalali? Kwa nini isiwe kwa mtu unayetaka kuingia naye kwenye maisha ya kudumu.
Mkuu kuna tofauti kati ya tabia ya mtu na kile anachifanya? Binafsi naona tabia ya mtu ndiyo ina determine afanye nini?Kujiridhisha ni muhimu hasa kwenye mambo ya msingi kama tabia ila sasa isiwe too much hadi kutaka kujua kila anachofanya.
Imani inahitajika zaidi otherwise utaachana na kila mtu utamuona hafai
Hahahahah. Sawa bwasheeeNenda usukumani kule kuna mabinti watulivu.
Achana na hao wa njiro😀
Wengine hua wanabadilika kutokana na mazingiraMkuu kuna tofauti kati ya tabia ya mtu na kile anachifanya? Binafsi naona tabia ya mtu ndiyo ina determine afanye nini?