Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Pole sana aisee nishawai pitia iyo issue

Kimsingi wanawake siyo wengi Kama wengi wanavyodai .. kwakua siyo kila mwanamke niwakutongoza ..

Kuna wake zawatu.. Kunawalio kuzidi umri ... Kuna wadogo kabisa ambao siyo size yako ..
Kwahiyo ulishapata demu?
 
Wakuu wa MMU habari za sasa,

Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.

Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.

Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.

Umri wangu ni 26.
Kwani lazima uwe nae me nipo pamoja nawe tukae single mpaka muujiza utendeke
 
nina miez minne nimeyumba kiuchumi yaan pesa imekauka haswa, hata nguvu tu ya kuomba namba mdada siipati. Uko kusimamisha umefika mbali sana mkuu.
Acha tu mkuu, hawajui Yani. Ukiwa umevurugwa huhisi chochote kile ata jinsia tofauti ikipita unaiona km mko jinsia 1 vile.... Ukiona mtu anapata nguvu ya kutaka mpenzi ujue ana pesa ya kumhandle.
 
Wakuu wa MMU habari za sasa,

Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.

Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.

Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.

Umri wangu ni 26.
Mi mwenyewe nimeteseka sana Ila shida ilikuwa udono zege nadhan na wewe mkuu hili ndo tatizo lako kubwa TOTO ZIPO KIBAO
 
Mtoa maada inaonekana unataka vigezo vikubwa sana ndio maana unakosa, sasa skia ngoja nkuchanie a page from my book

1. Chukua dem wa kawaida/au mzuri ambae local nawaitaga “indigenous breed” hakusumbui huyo ukipiga simu kaja...unamaliza mambo yako chap

2. Baada ya hapo sasa Tafuta dem wa Ndoto yako “The one” unamtafuta bila ya stress maana una pa kupoozea kule, unajua ukiwa na dem ndio rahis kupata dem kama ilivyo kwenye kazi
 
Hivi Badoo unapataje maana kila nikitaka kutuma message kwa dem naambiwa verify account ..natamani kujua kiukweli

Jaribu tinder, nlipata matches nikajua ni normal person nikawa na make conversation akawa ananitajia bei, eti tinder Tz sio kwa ajili ya dates ni kwa ajili ya wanaojiuza... duh

Sema mwanangu wewe ni holy mbona?
 
Maakeh hapo kwanza ncheke....😃

Tatizo unakula nyeto sana hadi unakuwa mzito

Matokeo yake unataka ukutane na manzi unaemvutiaga picha mda wa nyeto
 
Back
Top Bottom