Nioe au nikache kabisa

Nioe au nikache kabisa

Wakuu naombeni ushauri. Nipo njia panda mm kama kijana wa miaka 27 napata ukakasi juu ya mstakabari wa maisha yangu. Saa nyingine navutiwa na kutafuta mwanamke ila saa nyingine nikifikiri mambo Yao kutoka Kwa watu wanao nizinguka Nakata tamaa. Pia nikiangalia Dunia ilichonipa Wala hakina nguvu Kwa Sasa kuniwezesha mimi kuwa na familia. Sasa utata unakuja kama nisipo oa maana yake hata mtoto sitegemei kuwa nae Kwa Sababu sitaki kuwa na mtoto bila ya ndoa kutokana na niliyoyaona kwangu na ninayo yashuhudia kutoka Kwa watoto Wa aina hii. Kwa hiyo wakuu naombeni ushauri nitaishije kama mwanaume bila ya mke wala mtoto
Nenda ukawe padri
 
Wakuu naombeni ushauri. Nipo njia panda mm kama kijana wa miaka 27 napata ukakasi juu ya mstakabari wa maisha yangu. Saa nyingine navutiwa na kutafuta mwanamke ila saa nyingine nikifikiri mambo Yao kutoka Kwa watu wanao nizinguka Nakata tamaa. Pia nikiangalia Dunia ilichonipa Wala hakina nguvu Kwa Sasa kuniwezesha mimi kuwa na familia. Sasa utata unakuja kama nisipo oa maana yake hata mtoto sitegemei kuwa nae Kwa Sababu sitaki kuwa na mtoto bila ya ndoa kutokana na niliyoyaona kwangu na ninayo yashuhudia kutoka Kwa watoto Wa aina hii. Kwa hiyo wakuu naombeni ushauri nitaishije kama mwanaume bila ya mke wala mtoto
Fanya jinsi moyo wako unavokutuma
 
Kwa hiyo wakuu naombeni ushauri nitaishije kama mwanaume bila ya mke wala mtoto
Kila jambo lina wakati wake.

Kwa maelezo uliyotoa ni hakika bado wakati wako sahihi wa kuo hujafika.

Ila hakikisha unapofikisha katika umri huu 30-35-40 usijefanya makosa.
 
Kila jambo lina wakati wake.

Kwa maelezo uliyotoa ni hakika bado wakati wako sahihi wa kuo hujafika.

Ila hakikisha unapofikisha katika umri huu 30-35-40 usijefanya makosa.
Shukrani mkuu
 
Wakuu naombeni ushauri. Nipo njia panda mm kama kijana wa miaka 27 napata ukakasi juu ya mstakabari wa maisha yangu. Saa nyingine navutiwa na kutafuta mwanamke ila saa nyingine nikifikiri mambo Yao kutoka Kwa watu wanao nizinguka Nakata tamaa. Pia nikiangalia Dunia ilichonipa Wala hakina nguvu Kwa Sasa kuniwezesha mimi kuwa na familia. Sasa utata unakuja kama nisipo oa maana yake hata mtoto sitegemei kuwa nae Kwa Sababu sitaki kuwa na mtoto bila ya ndoa kutokana na niliyoyaona kwangu na ninayo yashuhudia kutoka Kwa watoto Wa aina hii. Kwa hiyo wakuu naombeni ushauri nitaishije kama mwanaume bila ya mke wala mtoto
Akili zako hazikutoshi! Utawezaje kumiliki mke?
 
Unamaanisha nini hapa?
Dunia Mbwana haikunipa malezi ya mzee Wala msingi wowote kutoka Kwa mzee. Dunia ilinipa malezi ya mama tu yaliyolenga elimu kama mkombozi bila ya msingi mwingine bad enough hata hio elimu sikufika kiwango cha kuweza kuonwa na ajira za makampuni pamoja na serikali. Dunia ikaenda mbali zaidi hata mama aliekuwa akinisomesha Dunia inamzungusha mafao yake. Unajua sometimes ukifikiria kuwa binadamu wanaweza kuwa sehemu ya wewe kukwama unaona hamna haja ya kuoa watoto Wao na kuwatunza kama mwanaume
 
Dunia Mbwana haikunipa malezi ya mzee Wala msingi wowote kutoka Kwa mzee. Dunia ilinipa malezi ya mama tu yaliyolenga elimu kama mkombozi bila ya msingi mwingine bad enough hata hio elimu sikufika kiwango cha kuweza kuonwa na ajira za makampuni pamoja na serikali. Dunia ikaenda mbali zaidi hata mama aliekuwa akinisomesha Dunia inamzungusha mafao yake. Unajua sometimes ukifikiria kuwa binadamu wanaweza kuwa sehemu ya wewe kukwama unaona hamna haja ya kuoa watoto Wao na kuwatunza kama mwanaume
Pole sana kwa changamoto hizo. Kwa ushauri wangu usioe kwa sasa. Kwa sasa unashughulika na nini?
 
Pole sana kwa changamoto hizo. Kwa ushauri wangu usioe kwa sasa. Kwa sasa unashughulika na nini?
Sana sana kibarua katika sekta ya ujenzi ila siku hizi nafanya mara chache Kwa Sababu kuna biashara ndogo ndogo za tution, Sanaa na teknolojia naziset
 
Sana sana kibarua katika sekta ya ujenzi ila siku hizi nafanya mara chache Kwa Sababu kuna biashara ndogo ndogo za tution, Sanaa na teknolojia naziset
Miaka 27 bado haujachelewa hebu fanya kuset life na uwe na chanzo cha kueleweka cha kipato. Baada ya miaka 3-5 angalia ulipofikia. Kuoa ni majukumu
 
Back
Top Bottom