Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Mmh! Pole sana jamani... Tafuta kibarua usonge mbele, maisha yenyewe mafupi haya kwanini mnyimane raha!
Kwa kipindi hiki inabidi uwe mvumilivu hata kama unanyanyaswa usiruhusu hali ya huzuni ikutawale.
Kuhusu mtoto kubaki st kayumba mwingne internetional lisikuumize. Hao watoto wote ni wenu, inawezekana mkeo hana uwezo wa kuwasomesha wote international ila na wewe ushaanza kuweka tabaka kwamba mmoja katengwa.
Mmmh! Hzi ndoa mbona zinatutisha!
Kwa kipindi hiki inabidi uwe mvumilivu hata kama unanyanyaswa usiruhusu hali ya huzuni ikutawale.
Kuhusu mtoto kubaki st kayumba mwingne internetional lisikuumize. Hao watoto wote ni wenu, inawezekana mkeo hana uwezo wa kuwasomesha wote international ila na wewe ushaanza kuweka tabaka kwamba mmoja katengwa.
Mmmh! Hzi ndoa mbona zinatutisha!