Nioe yupi kati hawa wadada wawili

Nioe yupi kati hawa wadada wawili

luis diaz

Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
86
Reaction score
208
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa

Mmoja Mkinga,,Mwingine Msukuma

mkinga nipo nae mkoa mmoja,,msukuma yupo mkoa mwingine
 
Long distance relationship haijawahi kufanya kazi bongo. Ukiendelea utazalisha wote na ushindwe wa kumuoa.
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Oa mwenye Tako kubwa
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Huu uzi bila picha haunogi….
 
Naona kuna tamaa ndani ya machaguo yako jitafakari kwanza
 
wewe umeajiliwa kwanza?

tusije tukawa tunashauri marioo
 
Back
Top Bottom