Nioe yupi kati hawa wadada wawili

Nioe yupi kati hawa wadada wawili

Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Wee mwenye tako kubwa ndio huyo huyo wakuweka ndani
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Oa mwanamke ambaye yupo tayari kusacrifise/kuacha baadhi ya vitu kwa ajili yako. Sio unaoa mwanamke yupo mkoa mwingine kwa mfano halafu hayupo tayari kuhama mkoa huo kuja kujumuika na wewe, hali kadhalika yupo imani tofauti na wewe lakini hayupo tayari kuiacha afuate yako, mbaya Sana kwa mfano unamwambia tabia Fulani siipendi, anakwambia hi tabia umenikuta nayo , niache Hivi nilivyo, Sasa unaoa mwanamke aina hi wa kazi gani.. !!!!?
 
Usioe kwanza, subiri ukue kidogo, unatakiwa kuongezeka kimtazamo, kifikra na mawazo ndio uoe.

Maturity is one of biggest factors to happy marriage.
 
kama kuna mwenye tako oa utakuja kunishukuru chief
 
Wakutanishe wote af uwape mtihani wafanye. Atakaepata marks nyingi oa huyo.
Apart frm that chagua tako tu.
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Yaani umeona Vigezo ni hivyo tu. Ndio maana Mnateseka kwenye Ndoa

Fuatilia haya
1. Ukoo wao upoje
2. Wazazi wake wapoje
3. Fuatilia mpaka kwanini Alipewa hilo jina analotumia hasa likiwa la Asili
4. Mwanamke akiwa mbali na Wewe jua Hawezi kuwa Peke yake
5. Fuatilia Kabila lao pia


Ukioa kwa Kuwaza Utandawazi tu. Ndoa yako pia Subiri iwe ya Kitandawazi
 
Angalia moyo wako mana uyo ni wa majuto na furaha kwenye maisha yako
 
Angalia ni yupi mna values zinazofanana. Mfano:
1. Dini, dhehebu. Hii itakupunguzia complications hata kwenye kulea watoto
2. Maendeleo. Kuna mwingine sio wa kujishughlisha, mwingine mchapa kazi, angalia yupi atafanya maisha yawe rahisi kidogo kiuchumi
3. Mambo mengine tu kama ushiriki wake kwenye mambo ya kijamii. Awe mtu wakujitolea na kupenda wengine, hii itawaongezea blessings na utajua watoto wenu watalelewa na mama wa aina gani.

Kingine omba Mungu kwa uaminifu atakuonyesha tu ambae values zenu zinafanana

Mwisho kabisa, yupi anakuvutia? Ila inabidi uwe makini, usichague kwa kuangalia muonekano tu.
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa

Mmoja Mkinga,,Mwingine Msukuma

mkinga nipo nae mkoa mmoja,,msukuma yupo mkoa mwingine
We jamaa mario huna lolote, na utaishi kwa fedhea na kudharauliwa sana na huyo mke. Tunza maneno yangu
 
Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,

wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa

Mmoja Mkinga,,Mwingine Msukuma

mkinga nipo nae mkoa mmoja,,msukuma yupo mkoa mwingine
Anayejua kufinyia kwa ndani na uliyemkuta bikra.
 
Kunywa glasi ya maji utayemuona ndo huyo huyo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom