Wee mwenye tako kubwa ndio huyo huyo wakuweka ndaniKwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,
wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Oa mwanamke ambaye yupo tayari kusacrifise/kuacha baadhi ya vitu kwa ajili yako. Sio unaoa mwanamke yupo mkoa mwingine kwa mfano halafu hayupo tayari kuhama mkoa huo kuja kujumuika na wewe, hali kadhalika yupo imani tofauti na wewe lakini hayupo tayari kuiacha afuate yako, mbaya Sana kwa mfano unamwambia tabia Fulani siipendi, anakwambia hi tabia umenikuta nayo , niache Hivi nilivyo, Sasa unaoa mwanamke aina hi wa kazi gani.. !!!!?Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,
wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Wakutanishe wote af uwape mtihani wafanye. Atakaepata marks nyingi oa huyo.
Apart frm that chagua tako tu.
nmeajiriwa na nina kazi nzuri tuwewe umeajiliwa kwanza?
tusije tukawa tunashauri marioo
29Umri wako? Kwanza tuanzie hapo
Yaani umeona Vigezo ni hivyo tu. Ndio maana Mnateseka kwenye NdoaKwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,
wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
ushauri wenu
Thread ifungwe....bibi harusi kishapatikana hapa.Oa mwenye Tako kubwa
tabia watavumiliana tuWee mwenye tako kubwa ndio huyo huyo wakuweka ndani
We jamaa mario huna lolote, na utaishi kwa fedhea na kudharauliwa sana na huyo mke. Tunza maneno yanguKwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,
wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
Mmoja Mkinga,,Mwingine Msukuma
mkinga nipo nae mkoa mmoja,,msukuma yupo mkoa mwingine
Kabisa...ila kukosa tako kwa mwanamke hakuvumiliki...ni sawa na mwanaume kukosa helatabia watavumiliana tu
Anayejua kufinyia kwa ndani na uliyemkuta bikra.Kwema humu...
naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa yeye nipo nae mkoa mmoja na mara kwa mara tunaonana,,
wa kwanza hajaajiriwa ila kajiajiri na masiha yanaenda vzr
wa pili kaajiriwa
Mmoja Mkinga,,Mwingine Msukuma
mkinga nipo nae mkoa mmoja,,msukuma yupo mkoa mwingine
Inavyoonekana asie na ajira anatako, mwenye ajira hana.Naona kuna tamaa ndani ya machaguo yako jitafakari kwanza