Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Mkuu natetemeka
Tatizo la vijana siku hizi mnataka shortcut sana. Huku tunaita uoga uliokithiri. Kwann usimtafute bila kutoa thread? Hii thread ilifaa iandikwe hivi.
Nashukuru ndoto yangu ya siku nyingi imetimia. Huyu mwanamke niliona mchango wake JF nikatokea kumpenda na hatimaye ndoa yetu itafungwa tarehe 2 feb 2018. Kadi za harusi zipo kwa mawasiliano zaidi 071xxxxxxxxx
 
Hivi kwanini sisi Wanaume Tunapenda Penda Hovyo Watu Tusio Wajua? Wewe Limtu Hulijui Hujawahi Liona Wala Kulisikia Sauti Afu Unajikuta Tu Unalipenda Khaaaa! Utapenda Majini Mzee Baba.
 
Maneno mengi yanakera,siku hizi upo wapi unapitwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…