Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Mkuu natetemeka
Tatizo la vijana siku hizi mnataka shortcut sana. Huku tunaita uoga uliokithiri. Kwann usimtafute bila kutoa thread? Hii thread ilifaa iandikwe hivi.
Nashukuru ndoto yangu ya siku nyingi imetimia. Huyu mwanamke niliona mchango wake JF nikatokea kumpenda na hatimaye ndoa yetu itafungwa tarehe 2 feb 2018. Kadi za harusi zipo kwa mawasiliano zaidi 071xxxxxxxxx
 
Hivi kwanini sisi Wanaume Tunapenda Penda Hovyo Watu Tusio Wajua? Wewe Limtu Hulijui Hujawahi Liona Wala Kulisikia Sauti Afu Unajikuta Tu Unalipenda Khaaaa! Utapenda Majini Mzee Baba.
 
Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
Maneno mengi yanakera,siku hizi upo wapi unapitwaa
 
Back
Top Bottom