Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

kama kuna mtu yupo karibu na huyu jamaa, amshike, naona kichaa kimemuanza.
 
Bepari la Kinyakyusa.
 
Yaani nimesoma hili bandiko kwa lafudhi ya kihaya nimecheka sana

Kuja kusoma michango ya wadau waki mind nkacheka zaidi (nimejiuliza watu wanakasirika kwA nini ) Maisha yamekuwa magumu mno kiasi cha kukuonea wivu ama kuna shida gani?
 
Wee jamaa mjivuni Sana aisee[emoji848]
Sema unafurahisha Sana[emoji3]
 
Yaani nimesoma hili bandiko kwa lafudhi ya kihaya nimecheka sana

Kuja kusoma michango ya wadau waki mind nkacheka zaidi (nimejiuliza watu wanakasirika kwA nini ) Maisha yamekuwa magumu mno kiasi cha kukuonea wivu ama kuna shida gani?
Ha ha ha...
Wabongo wanaukasirikia Hadi uzi[emoji3]
 
Wewe ugonjwa wako utakuwa ni kutoka hotelini kurudi nyumbani buguruni malapa ambalo hukutaki, ndio maana unatoka hayo mapunye
 
Huyo Bill Lugano ni Mwongo kama ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 kutuaminisha mamiradi yametekelezwa kumbe yapo kwenye michoro tu
 
Sasa unayaamini maombi yetu sisi Waafrika yatakusaidia kweli?
Mimi nadhani ungewaalika akina Jarule, Rihanna, Lil wayne na wengineo wakusaidie maombezi sisi Waafrika bado sana
 
Tutakuombea ili usiwe wa ajabu
 
Hii sio tu Kiduku bali amekua Duku kubwa
 

Kuna shida kubwa sana ya kusoma na kuelewa kwa watanzania. Na watu wana makovu mengi sana mioyoni humu. Hatari sana.
 
It's the 4500 Usd menu for me,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…