Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.

Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.

Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.

Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.

Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.

Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria, Secretary, Mpishi na Mhudumu binafsi.

Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madakatari wa familia yetu wapo USA?

Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.

Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.

Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.

Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.

Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.

Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China, Canada, Sweden, Belgium, USA, Uk, Russia, Germany, Switzerland, Norway, Egypt au South Africa.

Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.

Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.

Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Bepari la Kinyakyusa.
 
Yaani nimesoma hili bandiko kwa lafudhi ya kihaya nimecheka sana

Kuja kusoma michango ya wadau waki mind nkacheka zaidi (nimejiuliza watu wanakasirika kwA nini ) Maisha yamekuwa magumu mno kiasi cha kukuonea wivu ama kuna shida gani?
 
Wee jamaa mjivuni Sana aisee[emoji848]
Sema unafurahisha Sana[emoji3]
 
Yaani nimesoma hili bandiko kwa lafudhi ya kihaya nimecheka sana

Kuja kusoma michango ya wadau waki mind nkacheka zaidi (nimejiuliza watu wanakasirika kwA nini ) Maisha yamekuwa magumu mno kiasi cha kukuonea wivu ama kuna shida gani?
Ha ha ha...
Wabongo wanaukasirikia Hadi uzi[emoji3]
 
Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.

Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.

Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.

Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.

Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.

Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria, Secretary, Mpishi na Mhudumu binafsi.

Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madakatari wa familia yetu wapo USA?

Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.

Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.

Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.

Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.

Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.

Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China, Canada, Sweden, Belgium, USA, Uk, Russia, Germany, Switzerland, Norway, Egypt au South Africa.

Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.

Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.

Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Wewe ugonjwa wako utakuwa ni kutoka hotelini kurudi nyumbani buguruni malapa ambalo hukutaki, ndio maana unatoka hayo mapunye
 
Huyo Bill Lugano ni Mwongo kama ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 kutuaminisha mamiradi yametekelezwa kumbe yapo kwenye michoro tu
 
Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.

Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.

Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.

Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.

Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.

Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria, Secretary, Mpishi na Mhudumu binafsi.

Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madakatari wa familia yetu wapo USA?

Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.

Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.

Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.

Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.

Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.

Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China, Canada, Sweden, Belgium, USA, Uk, Russia, Germany, Switzerland, Norway, Egypt au South Africa.

Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.

Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.

Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Sasa unayaamini maombi yetu sisi Waafrika yatakusaidia kweli?
Mimi nadhani ungewaalika akina Jarule, Rihanna, Lil wayne na wengineo wakusaidie maombezi sisi Waafrika bado sana
 
Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.

Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.

Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.

Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.

Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.

Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria, Secretary, Mpishi na Mhudumu binafsi.

Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madakatari wa familia yetu wapo USA?

Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.

Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.

Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.

Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.

Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.

Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China, Canada, Sweden, Belgium, USA, Uk, Russia, Germany, Switzerland, Norway, Egypt au South Africa.

Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.

Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.

Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Tutakuombea ili usiwe wa ajabu
 
Hii sio tu Kiduku bali amekua Duku kubwa
 
Naona kuna baadhi wamefika hatua ya kumtukana mleta mada

Kiukweli mimi huwa naburudika sana na story zake yaani napenda sana kuzisoma, kwa hili mkuu Bill Lugano kafanikiwa,

Yaani niwakumbushe wanajf wenzangu kwamba msichukulie SIRIAZ sana maana mleta mada yupo hapa kutuburudisha ili tupunguze stress za January

Tuendelee kuburudika na Bill Lugano/kidukulilo

Kuna shida kubwa sana ya kusoma na kuelewa kwa watanzania. Na watu wana makovu mengi sana mioyoni humu. Hatari sana.
 
Back
Top Bottom