Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Nakuona unavyoenda kukusanya hizo Mil 80 za SADC Kila la Heri
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
cup-of-tea-teapot.gif
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Wewe ni mmoja wa mashujaa wa nchi hii ambao mmetii amri ya Amiri Jeshi na mnaenda kuitekeleza. Mungu na akutangulie upigane kishujaa na urudi salama. We're proud of you.
 
Oya mkuu alkasusu nikufungie chupa ngapi, mkuyati je? Au utatumia mikongo huko huko
 

Attachments

  • Screenshot_20250203_003923.jpg
    Screenshot_20250203_003923.jpg
    202.4 KB · Views: 2
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Nini? Tukuombee? Kwani kazi ya jeshi ni nini? Wewe siyo mwanajeshi, VINGINEVYO ndiyo mlioingizwa jeshini kwa connection!
Badala ya kufurahi na kurukaruka kama ndama kwa kuwa sasa unaenda kazini... We unadai maombi... Asee we nenda af' ukafe KABISA usirudi! Unalitia aibu JWTZ. Hii ni ishara kwamba ukibananishwa huko unaweza kusurrender kwa adui. Curse and shame on you!
 
  • Thanks
Reactions: Okk
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
To posho basi mzigo si ushaingia kabisa kwenye acount?
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
R.I.P in Advance
 
Back
Top Bottom