nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Huyo ndugu yako atakuwa Goma, majaliwa yake yanategemea huruma za PKNina ndugu yangu huko kila nikimpigia video call analia tu na kuniaga.Alienda kulinda amani.Ananiachia watoto wake et.Hebu wakae na M23 wasituulie ndugu zetu please. Namwombea kwa Mungu arudi salama maana muda wake umeisha
Nakuona unavyoenda kukusanya hizo Mil 80 za SADC Kila la HeriWakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Huyu ni askari anatii amri hilo swali waulize wanasiasaMnawaondoa M23 nyumbani kwao ili waende wapi?
Waambieni viongozi wenu wakae na M23 ili wajadiliane nao kutafuta suluhisho la kudumu.
Halafu Tanzania ina masilahi gani huko ku-Zaireee
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Wewe ni mmoja wa mashujaa wa nchi hii ambao mmetii amri ya Amiri Jeshi na mnaenda kuitekeleza. Mungu na akutangulie upigane kishujaa na urudi salama. We're proud of you.Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
sio mbaya, ila hakuna mwanajeshi hapo. Ni kiki tu.Wewe ni mmoja wa mashujaa wa nchi hii ambao mmetii amri ya Amiri Jeshi na mnaenda kuitekeleza. Mungu na akutangulie upigane kishujaa na urudi salama. We're proud of you.
Unamjua?sio mbaya, ila hakuna mwanajeshi hapo. Ni kiki tu.
naijua style yake ya kiki, toka nyuzi zake baadhi.Unamjua?
Kibao kikigeuka kusema nilikuwa natii amri sio utetezi, watch Nuremberg trial uone Nazi soldiers kilichowatokeaHuyu ni askari anatii amri hilo swali waulize wanasiasa
Hiyo id kama niwewe basi ubarikiwe sana, mnakuwaga watam sana.Urudi salama.Mungu akutangulie. Ila ukiona hali ni mbaya kimbia π
Kunywa ya motoChai
Nini? Tukuombee? Kwani kazi ya jeshi ni nini? Wewe siyo mwanajeshi, VINGINEVYO ndiyo mlioingizwa jeshini kwa connection!Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Kama kuku wa kienyeji π πHiyo id kama niwewe basi ubarikiwe sana, mnakuwaga watam sana.
NaamKama kuku wa kienyeji π π
To posho basi mzigo si ushaingia kabisa kwenye acount?Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
R.I.P in AdvanceWakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mzigo upi akati yupo jfTo posho basi mzigo si ushaingia kabisa kwenye acount?
Kasema j4 anaenda kongo ina maana acount washawekewa helaMzigo upi akati yupo jf
View attachment 3254753