Kumekuwa na songombingo kuhusu baadhi ya Michezo ya ligi ya NBC Bara kwenda kuchezewa katika uwanja wa Amani Zanzibar.
Mjadala umekuwa ni mpana. Suala hili lilianza pale Simba walipokuwa wanatafuta uwanja wa kuchezea baada ya Lupaso kufungwa na Simba kutotaka kutumia uwanja wa Azam Chamazi, ndipo kulipozuka tetesi kuwa SSC walitaka kuutumia uwanja wa Amani lakini Kwa wakati huo kanuni za Bodi ya ligi hazikuwa zinaruhusu.
Baada ya muda Bodi waliangalia kanuni zao na hatimae wakazirekebisha na kuruhusu Kwa timu inayopenda kwenda huko iende.
NIONAVYO: Kwa suala hili la ligi Michezo kupelekwa Zanzibar wakulaumiwa sio Bodi bali Kama ni lawama basi wakulaumiwa ni TIMU yenyewe inayochagua kupeleka mchezo wake huko. Sababu Bodi "HAILAZIMISHI" timu yoyote kuchezea huko Bali ni matakwa ya Club husika.
Club husika ndio wanajua wanachokifuata huko na wanafaidika na nini. Pia ni Club ndio inayopaswa kuangalia na kuelewa kuwa wanachama na wapenzi wake wanafaika vipi Kwa wao viongozi kupeleka mchezo huko. Kwa maana hakuna kanuni inayo' WALAZIMISHA' Wao kwenda huko NI kiherehere Chao Tu.
Mjadala umekuwa ni mpana. Suala hili lilianza pale Simba walipokuwa wanatafuta uwanja wa kuchezea baada ya Lupaso kufungwa na Simba kutotaka kutumia uwanja wa Azam Chamazi, ndipo kulipozuka tetesi kuwa SSC walitaka kuutumia uwanja wa Amani lakini Kwa wakati huo kanuni za Bodi ya ligi hazikuwa zinaruhusu.
Baada ya muda Bodi waliangalia kanuni zao na hatimae wakazirekebisha na kuruhusu Kwa timu inayopenda kwenda huko iende.
NIONAVYO: Kwa suala hili la ligi Michezo kupelekwa Zanzibar wakulaumiwa sio Bodi bali Kama ni lawama basi wakulaumiwa ni TIMU yenyewe inayochagua kupeleka mchezo wake huko. Sababu Bodi "HAILAZIMISHI" timu yoyote kuchezea huko Bali ni matakwa ya Club husika.
Club husika ndio wanajua wanachokifuata huko na wanafaidika na nini. Pia ni Club ndio inayopaswa kuangalia na kuelewa kuwa wanachama na wapenzi wake wanafaika vipi Kwa wao viongozi kupeleka mchezo huko. Kwa maana hakuna kanuni inayo' WALAZIMISHA' Wao kwenda huko NI kiherehere Chao Tu.