Nionavyo Mimi Kuhusu Askofu Gwajima...

Nionavyo Mimi Kuhusu Askofu Gwajima...

Kama humuamini Gwajima kachanjwe bro, usitukane watu. Mbona simpo.

Chanjo ya Polio, Pepopunda, Surua nk hazina kujaza form Kwa ajili ya kuingizwa kwenye data base, ila hii inayo. Mwenye akili timamu walah Kuna jambo hapa
Kwani hiyo ni fomu ya kwanza kujazwa kwenye matibabu??

Ushawai fanyiwa surgery? Ndugu zako hawakujaza fomu??? Au unatibiwa kwa waganga huko chato alafu unaleta ushamba wako hapa??
 
Kwani hiyo ni fomu ya kwanza kujazwa kwenye matibabu??

Ushawai fanyiwa surgery? Ndugu zako hawakujaza fomu??? Au unatibiwa kwa waganga huko chato alafu unaleta ushamba wako hapa??
Una upeo mdogo wa kufikiri.

Form ya surgery inakutaka ukaze namba ya NIDA?

DETAILS zinazohitajika kwenye form ya surgery zinahusiana na history ya tatizo lako na ukaribu wa ndugu zako.

Ipo siku mtamuelewa tu Gwajima (Askofu).

Gwajima waziri haelewi anachokiamini, marehemu akiamka Leo naona atafariki Tena, wote wamemsaliti, hawaelewi nini wanachokisimamia, wafia tumbo tu
 
Hamchoki tu na huyo mpuuzi wenu?
Hivi biashara yake ya kufufua misukule imeishia wapi?
Kama vipi mpelekeni chato akamfufue muhuni mwenzake Kama mnamuamini sana
Labda useme tunapaswa kuwa na wajinga wa namna hii. Sio watu wa namna hii...alafu mwambie Kama unawasiliana nae aingie Google aandike sexhubb ikifunguka aandike jina lake aanze na askofu Kisha aangalie mchezo anaoufanya.

Kama ni yeye mwambieni bado Yuko hewani ana dhalilika aongee na wenye mtandao kule ulaya aifute hiyo Crip..sawa sukuma gang
 
Gwajima sio mnafiki kama wakina kigwangala, alipinga chanjo sambamba na JPM na mpaka sasa bado anaipinga.

Naheshim sana misimamo yake.
 
Gwajima ana haki sawa na watu wengine kutoa mtazamo wake kwa suala hili ambalo linajadilika.
Personally naungana naye kutilia mashaka chanjo ambazo zinakwenda kuchezea DNA za watu. Hakuna ajuaye huko mbeleni zitakuwa na madhara gani, ndiyo maana inabidi usainishwe mkataba wa 'yatakayokutokea huko mbele utajijua mwenyewe '!
Hakuna chanjo inayochezea DNA ya watu. Ipi? Wanaodai hayo hawakuelewa habari za DNA.
 
Acha ubishi we dalali la machanjo..
Kaka hakuna chanjo inayobadilisha mfumo wa DNA. Ukijua kunyume, onyesha!
Ukiamini kwamba kwa sababu fulani chanjo za COVID zinafanya kazi tofauti na chanjo hizo zote ulizopokea tayari, basi utueleze!

Ndimi, kwa heshima, wakala wako!
 
Hana shida na Ubunge amechoka nao au haoni kama ni big deal hivyo anaongea anachokiamini bila woga/shaka.

Si mnafiki anazungumza anachokiamini. Mtu wa namna hii ni mzuri akipata wasaa wa kuamini jambo lenye faida kwa Taifa. Hayumbishwi. Tunapaswa kuwa na watu wa namna hii

Huyu ni mtu wa system au ana back up kubwa sana. Alianza jiamini toka serikali ya marehemu ni yeye pekee aliyeweza pambana na makonda waziwazi kipindi makonda akiwa ni kipenzi cha marehemu.

Si mjinga anajua anachokifanya na kusema. Mpaka sasa hoja zake hazijajibiwa ameishia kutukanwa tu.

Mwisho natoa wito watu mkachanjwe chale. Corona ipo.
Then siku hii ikifika
unaweza usiamini !.
P
 
Inaelekea hata hujui hizi chanjo zinavyofanya kazi. Pole sana 😥😥
Nimeshangaa mara kadhaa lugha hiyo inatokea wapi "Chanjo inayobadilisha mfumo wa DNA" (Gwajima na Shekhe farid Mussa wanasambaza habari hiyo).
NAdhani pamoja na kiwango cha duni cha elimu sababu yake ni hii: madawa ya chanjo za COVID zinapatikana kwa njia tofauti.
1) chanjo za kawaida; hapa wanatumia virusi zilizodhoofishwa, au kuuawa; ikiingizwa katika mwili, mfumo wa kinga mwilini unaitambua na kutengeza askari dhidi yake zinazoweza kushambulia virusi hai na kuziua. Namna hiyo ya chanjo ni namna iliyokuwa kawaida hadi juzi, ni namna ya chanjo zote za magonjwa mbalimbali tulizopokea kama watoto, dhidi COVID mifano yake ni Sinopharm na Sinovac kutoka China na Bharat Biotech kutoka Uhindi.
2) chanjo zilizopatikana kwa njia ya kuchezea DNA / RNA ya virusi yenyewe ambayo ni tekinolojia mpya sana (mifano Biontech, Johnson, Astra). Hapa vipande vya DNA au RNA vya virusi vinabadilishwa katika maabara na kuingizwa katika mwili, ambavyo haviwezi kusababisha ugonjwa lakini vinasababisha jibu la mfumo wa kinga mwilini unaotengeneza askari husika.

Naona lugha ya "genetically modified vaccine" imesababisha imani kwamba chanjo hizo zinabadilisha muundo wa DNA mwilini. Ambayo si vile, inayochezewa ni mfumo wa DNA / RNA ya virusi kabla ya kuingiza chanjo mwilini.

Bila shaka anayependa kuamini na kuwafuata akina Gwajima na Farid Mussa hataniamini. Anayependa kujielimisha anaweza kusoma kwa mfano hapo https://en.wikipedia.org/wiki/COVID-19_vaccine, na usipopenda kutegemea Wikipedia ni sawa, unapata vyanzo vingi sana kwenye tanbihi ya makala uanpoweza kujenga hoja mwenyewe.

(Sijui kama ni faida kwamba siku hizi kuna chaguo baina ya ujinga uleule kwa ladha ya Kiislamu na ladha ya Kikristo. )
 
Umenena vyema. Ulipokosea hapo mwisho kuhusisha dini kwa kuwa tu waliosema hayo ni Sheikh na Askofu. Hiyo ni mitizamo yao na si kwamba ndio msimamo wa dini. Kwa mfano ktk Uislam tunaamrishwa na Muumba kuwa tunapashwa kusema jambo lenye hakika na kama hatujui lazima tuwaulize wajuzi, sasa kama jambo hili ni la kitabibu lazima litolewe maelezo na hao hao matabibu na sio Masheikh ama viongozi wa dini. Unless huyo kiongozi wa dini awe na elimu ya kidaktari na hasa speciality ya magonjwa yahusihayo virus / pandemic disease.
 
Umenena vyema. Ulipokosea hapo mwisho kuhusisha dini kwa kuwa tu waliosema hayo ni Sheikh na Askofu. Hiyo ni mitizamo yao na si kwamba ndio msimamo wa dini. Kwa mfano ktk Uislam tunaamrishwa na Muumba kuwa tunapashwa kusema jambo lenye hakika na kama hatujui lazima tuwaulize wajuzi, sasa kama jambo hili ni la kitabibu lazima litolewe maelezo na hao hao matabibu na sio Masheikh ama viongozi wa dini. Unless huyo kiongozi wa dini awe na elimu ya kidaktari na hasa speciality ya magonjwa yahusihayo virus / pandemic disease.
Asante kwa kudokeza ujinga menyewe si wa dini. Hii ni sababu niliandika "ujinga uleule kwa ladha ya Kiislamu na ladha ya Kikristo", naana ukichukua aisikrimu ni krimu ileile ila unaweza kupata ladha tofauti, mara vanilla mara chokoleti mara matunda - tofauti ni ladha na rangi tu inayokorogwa katika kitu kilekile. (na ladha pekee, si vanilla wala chokoleti halisi). Hivyo na ladha katika ujinga wa habari za Korona. Huko Ulaya iko pia ladha ya kiatheisti, pamoja na kidini au kifalsafa.
 
Kwani hiyo ni fomu ya kwanza kujazwa kwenye matibabu??

Ushawai fanyiwa surgery? Ndugu zako hawakujaza fomu??? Au unatibiwa kwa waganga huko chato alafu unaleta ushamba wako hapa??
Sasa inakuwaje unamuhamasisha mtu achukue risk inayoweza kuhatarisha Maisha yake na afya yake?
 
Ubunge ni big deal sana kwake ila ni anti vaxxer tu.
Hana shida na Ubunge amechoka nao au haoni kama ni big deal hivyo anaongea anachokiamini bila woga/shaka.

Si mnafiki anazungumza anachokiamini. Mtu wa namna hii ni mzuri akipata wasaa wa kuamini jambo lenye faida kwa Taifa. Hayumbishwi. Tunapaswa kuwa na watu wa namna hii

Huyu ni mtu wa system au ana back up kubwa sana. Alianza jiamini toka serikali ya marehemu ni yeye pekee aliyeweza pambana na makonda waziwazi kipindi makonda akiwa ni kipenzi cha marehemu.

Si mjinga anajua anachokifanya na kusema. Mpaka sasa hoja zake hazijajibiwa ameishia kutukanwa tu.

Mwisho natoa wito watu mkachanjwe chale. Corona ipo.
 
Nimeshangaa mara kadhaa lugha hiyo inatokea wapi "Chanjo inayobadilisha mfumo wa DNA" (Gwajima na Shekhe farid Mussa wanasambaza habari hiyo).
NAdhani pamoja na kiwango cha duni cha elimu sababu yake ni hii: madawa ya chanjo za COVID zinapatikana kwa njia tofauti.
1) chanjo za kawaida; hapa wanatumia virusi zilizodhoofishwa, au kuuawa; ikiingizwa katika mwili, mfumo wa kinga mwilini unaitambua na kutengeza askari dhidi yake zinazoweza kushambulia virusi hai na kuziua. Namna hiyo ya chanjo ni namna iliyokuwa kawaida hadi juzi, ni namna ya chanjo zote za magonjwa mbalimbali tulizopokea kama watoto, dhidi COVID mifano yake ni Sinopharm na Sinovac kutoka China na Bharat Biotech kutoka Uhindi.
2) chanjo zilizopatikana kwa njia ya kuchezea DNA / RNA ya virusi yenyewe ambayo ni tekinolojia mpya sana (mifano Biontech, Johnson, Astra). Hapa vipande vya DNA au RNA vya virusi vinabadilishwa katika maabara na kuingizwa katika mwili, ambavyo haviwezi kusababisha ugonjwa lakini vinasababisha jibu la mfumo wa kinga mwilini unaotengeneza askari husika.

Naona lugha ya "genetically modified vaccine" imesababisha imani kwamba chanjo hizo zinabadilisha muundo wa DNA mwilini. Ambayo si vile, inayochezewa ni mfumo wa DNA / RNA ya virusi kabla ya kuingiza chanjo mwilini.

Bila shaka anayependa kuamini na kuwafuata akina Gwajima na Farid Mussa hataniamini. Anayependa kujielimisha anaweza kusoma kwa mfano hapo https://en.wikipedia.org/wiki/COVID-19_vaccine, na usipopenda kutegemea Wikipedia ni sawa, unapata vyanzo vingi sana kwenye tanbihi ya makala uanpoweza kujenga hoja mwenyewe.

(Sijui kama ni faida kwamba siku hizi kuna chaguo baina ya ujinga uleule kwa ladha ya Kiislamu na ladha ya Kikristo. )
"But with any health advancement comes potential risk. Gennaro says that with a DNA vaccine, there is always a risk it can cause a permanent change to the cell’s natural DNA sequence."
Hiyo ni quote ambayo nimeipata kwenye hiyo article hapa chini; ukiangalia kwenye Pro's and Con's utaiona. Hakuna anyejua kwa uhakika nini kitatokea kwenye DNA za mchanjwaji:
 
Kwani hiyo ni fomu ya kwanza kujazwa kwenye matibabu??

Ushawai fanyiwa surgery? Ndugu zako hawakujaza fomu??? Au unatibiwa kwa waganga huko chato alafu unaleta ushamba wako hapa??
sidhani kama mna uwezo wa kutofautisha consent form for s research o na consent form ya matibu.kina
 
Back
Top Bottom