Nionavyo Mimi Kuhusu Askofu Gwajima...

Asante sana kwa kutuletea makala uliyotaja. Je umeisoma? Kama umeisoma umeona kwamba chanjo zote zilizopo sokoni si zile za "DNA"; kuna utafiti wa chanjo za aina hii lakini hakuna iliyofika hadi sasa.
Zile ambazo ziko sokoni (Biontech n.k.) ni zila anazoita hapa "RNA". Makala inaeleza hizi haziwezi kubadilsha seli za mwili.
Tafadhali usome upya!
Ninasimama palepale kwa chanjo zilizopo hakuna inayoweza kubadilisha mfumo wa DNA ya mwilimni mwa binadmu.
 
Kifupi walimlazimisha ubunge kwa kuexpose zike video za ngono.....lkn hakupenda na anatafuta sababu auache ubunge..Ni hivyo tu
 

Huyo marehemu alikuwa nani kwenye nchi hii zaidi ya kuwa jizi la kura, na kulea kundi la watu wasiojulikana?
 
Gwajima ametumwa na Bi chokochoko kufanya anayoyafanya , unakumbuka Ndugai na masuala ya Tozo ?
 
Nakubali s kigeu geu hata chadema chama changu kilishindwa simamia ukwel uliohubir miaka mingi juu ya ufisadi lakn akaletwa fisadi Tena agombee urais na hii kitu inatutesa Sana sisi wanachadema



...Tanzania hatuna chama chakutuletea maendeleo ........

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…