Unajua nimecheka sana majadiliano yako na jmushi1.............mkanikumbusha ile hadithi ya "egg & chicken"..............
well, Mkuu Webby tuko ukurasa mmoja........OS ina shortfalls zake hivyo tuwasiadie kimawazo CHADEMA ili waimarishe mapambano ya kifikra..........operation kama hizi zina impact................results zake zaweza zisiwe immediate............lakini in the long run tunajua wananchi wanapata elimu ya uraia which is most important............kama Mbunge wa CCM alipata kura 1000 last time trust me baada ya OS check the figures again hata kama atashinda..............inawezekana isi-work sehemu zote kwani si wabunge wote wa CCM hawawajibiki kwa wananchi wao..................pia ukumbuke CCM they watch this OS...............na watakuwa makini kupitisha wabunge wao kwenye kura za maoni............wasiouzika "yawezekana" wakaula wa chuya............. kw ahiyo OS ina impact....................
Ndio maana tunatafuta njia za kupata viongozi wanaofaa sasa hivi.................CCM tumewapigia keleleee weeee kuhus katiba.......gues what.........wakaja na counter argument.................."tuelezeni ni wapi katiba ina mapungufu...........mapungufu hayo yatachambuliwa na ikibidi katiba itakuwa amended................."
sasa ukiangalia majority kwenye Bunge ndio hao CCM (mashetani/majambazi/walevi).......unategemea fisadi/mbinafsi/mlarushwa atabadilika ili abadilishe katiba ili ije imbane yeye mwenyewe?..............no way!
Unajua CCM wala hawana wasiwasi......wanajua wananchi ni "mali" yao ambayo itawaidhinisha kwenye power regardless...........so they don't care about mabadiliko ya Katiba...............
machache tunavyoweza kufanya na tuyafanye kwa juhudi zote............ikiwemo kampeni kama OS
Mkuu Webby...........tufanyeje ili tupate viongozi wanaofaa............watakaokubali kushirikiana na wananchi kutengeneza Katiba Mpya?
I do believe our discussion here iwe kufikia ultimate workable solution
-Ogah tumenza uchaguzi wa vyama vingi 1995, kuna chaguzi tatu tumezipita
-Katika kila chaguzi zinazofuata CCM ndiyo wanaongeza kupata kura! mpaka wa 2005 ushindi wa kishindo,
Leo tunazungumza 2010 almost 20yrs after system hii inaze , LEO hii tuna hakika mimi na wewe kuwa next president ni Jakaya Mrisho Kikwete kutoka CCM chama ambacho tunakiita cha majambazi
Hatuishii hapo nature ya OS na mahubiri kama hayo ni ephemeral, ukipita upepo wa vyama vingine wananchi wanageuka, siyo permanent!
PIGA PICHA HII, lets assume
Rudi 1992, Katiba ingebadilika, na mwaka 1995 wakati wapinzani wamepata asilimia 40% tungepata nfasi kulingana na hiyo asilimia 40, lets say katika wizara 20, tano wanachukua chadema au NCCR at that time.
Leo hii assume tungekuwa wapi?, I strongly believe katika uchaguzi wa mwaka 2010 tungekuwa hatujui rais anatoka chama gani. Ikifikia hatua ya ''yoyote anaweza kuwa rais'' NDIYO muda huo sasa!! msimimko wa uchaguzi utagusa kila nafsi ya mtanzania, kama vile mnaangalia mechi ya mpira!
Hakuna hata siku moja chini ya jua hili serikali itasema mabadiliko haya chukueni,
Weakness moja kuliko zote ni kuwa ukiwauliza wapinzani wanasema CCM wamesema hawataki serikali ya mseto!! my God is this country belong to CCM au kwa watanzania?
Najua tuna uchungu na tumeichoka CCM, Zanzibar wamewezaje? na ninachosema ni kufikia lengo hilo, hii ya sasa hivi ni sandakarawe! mkuu historia inaonyesha hivyo. kikubwa ni kuwa mabadiliko au kutaka serikali ya mseto maana nyingine ni wote kuwa sawa na kuanza mbio ka pamoja, hivi sasa CCM wako mbele sana ndiyo maana hizi kelele haziwatishi wao achilia mbali wananchi.
Turn up ya kupiga kura inakuwa kubwa kama chaguzi zina msisimko, mwaka huu wakat majority wanajua CCM itashinda then turn upe itakuwa ndogo.
Ok, ili tusilaumiwe na vizazi vijavyo, ijulikane haya na hizi operation zitakumbukwa sana tu. Serikali ya mseto is self-minitoring systems, wakija NCCR leo na wakaanza kama CCM then tusubiri baada ya miaka mitano waondoke! what if ikitokea ya Kenya.
Ogah tungekuwa na serikali ya mseto leo hii thread hizi zisingekuwa hivi, leo hii vyama vya siasa visingelala kutegemea ruzuku tu, unavyoona chadema wanapiga kelele na kujitoa si sawa na vyama vingine! vingine vimelala na je chadema kazi hii wataiweza? when should we excpect positive results? tumejifunza nini na kelele za ufisadi toka mwaka 2005 mpaka leo, the very same government bado itashinda, ndiyo maana nauliza, is it wrong to change tactics? if yes why we are not telling them?
Hivi kuna ubaya gani mtu akasema Slaa na style zenu haifai lets move this way, tukimwonea aibu Slaa how are we defining Tanzanian na hizi harakati zetu?
we are on the same agenda, same page, same goal we may only differ in how to reach same traget. Yours techniques has been proven wrong for 20yrs should we continue to use this?
Tusubiri kuibiwa kwanza ndio tubadili chama au tuwe na system tuzuie wizi usiwepo??
Serikali ya Mseto ingekuwepo wizi wa EPA, RICHMOND, vingetokea wapi? akina mama wangapi wanakufa kwa kukosa dawa na kulala sakafuni, yes tumesema sana nini kilichotokea? fedha zimerudishwa? kama zimrudishwa whi is hero mbele ya wananchi CCM au upinzani? si ndio watu wanampa sifa JK! eti kisam Mramba na Yona wameenda mahakamani! should we learn to prevent uwizi au tusubiri watu waibe kama akina Mkapa ndiyo tupige kelele? kitu gani kitabaki kwa kizazi kijacho?