OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa kipindi chote nilichofanya kazi na ofisi za serikali au kupata huduma ofisi za umma, nimejiridhisha pasipo na shaka kwamba hakuna ofisi hata moja inayokidhi vigezo vya kimataifa katika utoaji wa huduma.
Ofisi zote Bongo ni ujanja ujanja tu. Watu wameacha elimu darasani na kwenye madaftari huko kazini kila mtu anajiendea anavyojaaliwa.
Hali ni mbaya zaidi hasa kwenye ofisi za Halmashauri. Wamejaa wavivu, ni kama wananchi wanahudumiwa na watu wasio na shule kabisa. Longo longo kibao ili akuhudumie lazima untengenezee mazingira ya kumpa hela au kujuana.
Zipo ofisi kadhaa kama TRO na NHIF huwa naona zikuwa certified na ISO. Lakini uhalisia ni tofauti kabisa, nadhani waliwapa cerification bila kujua huku field kukoje waliangalia makaratasi tu. Wote ni wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Ndiyo maana hapa Bongo mtu akiwa na kauwezo kidogo anaonekana kichwa kishenzi.
Ninakupa hii sio mambo ya kusimuliwa. Kama unabisha nitajie ofisi moja ili tubishane. Kwa hiyo, hatua zaidi tunatakiwa kuchukua kama nchi. Bahati mbaya zaidi hata viongozi wa juu nao ni walewale tu.
Ofisi zote Bongo ni ujanja ujanja tu. Watu wameacha elimu darasani na kwenye madaftari huko kazini kila mtu anajiendea anavyojaaliwa.
Hali ni mbaya zaidi hasa kwenye ofisi za Halmashauri. Wamejaa wavivu, ni kama wananchi wanahudumiwa na watu wasio na shule kabisa. Longo longo kibao ili akuhudumie lazima untengenezee mazingira ya kumpa hela au kujuana.
Zipo ofisi kadhaa kama TRO na NHIF huwa naona zikuwa certified na ISO. Lakini uhalisia ni tofauti kabisa, nadhani waliwapa cerification bila kujua huku field kukoje waliangalia makaratasi tu. Wote ni wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Ndiyo maana hapa Bongo mtu akiwa na kauwezo kidogo anaonekana kichwa kishenzi.
Ninakupa hii sio mambo ya kusimuliwa. Kama unabisha nitajie ofisi moja ili tubishane. Kwa hiyo, hatua zaidi tunatakiwa kuchukua kama nchi. Bahati mbaya zaidi hata viongozi wa juu nao ni walewale tu.