Nioneshe ofisi yenye weledi wa kimataifa nami nikuoneshe kuku mwenye mwanya

Nioneshe ofisi yenye weledi wa kimataifa nami nikuoneshe kuku mwenye mwanya

Hilo la wanawake kujifungua Yaani maternity leave ni haki kimataifa siyo Tanzania tu

Tuseme ukipata ajali hauna haki ya matibabu?ufukuzwe kazi?
Angalia na excuse za wanawake na jinsi ya utendaji wa kazi hat ukipata ajali sehemu yako Inakuwa ni tatizo maana sio kawaida
 
Huu ni ukweli aisee tuseme ile hali..

Kazi nyingi hazifanyiki coz sisi wabongo ni washamba sana kuridhika mapema.

Ipo hivi watu wanatengeneza mazingira ya kuleta story na mambo ya mtaani ofisi while ni mda wa kufanya kazi ..wanawake ni wanaboa sana wao utani na mambo ya nyumbani kazini.

Mwaka Jana palikuwa na staff mmoja wa kike alikuwa anataka kuolewa basi ile week moja kabla pale ofisi imekuwa ndo sehemu ya maandalizi yaani wanawake wanaboa mara waje na nguo za sare pale kuonyeshana ,mavigelegele kibao,kupenda makundi dk mbili mtu katoka section yake kaja kwa mwingine ni stori tu na Kuna wanaume pia.

Kingine unakuta wanawake hao waliokuwa na mimba au walijifungua basi wanatoka mda kabla ya muda husika ili kwenda nyonyesha ni very boring katika utendaji kazi kwa kweli waliangalie hili wanawake sio wa kuwategemea ..Mwaka Jana tulipata usumbufu coz wanawake wawili walijifungua nafasi zao itabidi sisi tureplace wakati tuna kazi zetu kazi ngumu kwa kweli .

Africa wengi ni washamba wanashindwa kutofautisha sehemu ya kazi na nyumbani pia wanaamini kweny uchawa yaani sio utendaji kazi kwamba yeye kupata safari nyingi ni kumshobokra bosi sio kufanya kazi kwa juhudi..Mtu anaweza kwenda safari ya kikazi ila kuja kuandaa ripoti ya hiyo kazi ni balaa.

Ukweli ni kwamba watu wapige kazi sio porojo na kukalia majungu .
Sheria ya maternity leave ipo kwenye mkataba, sasa unakasirika nini?
 
Kwa kipindi chote nilichofanya kazi na ofisi za serikali au kupata huduma ofisi za umma, nimejiridhisha pasipo na shaka kwamba hakuna Ofisi hata moja inayokidhi vigezo vya kimataifa katika utoaji wa huduma.

Ofisi zote Bongo ni ujanja ujanja tu. Watu wameacha elimu darasani na kwenye madaftari huko kazini kila mtu anajiendea anavyojaaliwa.

Hali ni mbaya zaidi hasa kwenye ofisi za Halmashauri. Wamejaa wavivu, ni kama wananchi wanahudumiwa na watu wasio na shule kabisa. Longo longo kibao ili akuhudumie lazima untengenezee mazingira ya kumpa hela au kujuana.

Zipo ofisi kadhaa kama TRO na NHIF huwa naona zikuwa certified na ISO. Lakini uhalisia ni tofauti kabisa, nadhani waliwapa cerification bila kujua huku field kukoje waliangalia makaratasi tu. Wote ni wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Ndiyo maana hapa Bongo mtu akiwa na kauwezo kidogo anaonekana kichwa kishenzi.

Ninakupa hii sio mambo ya kusimuliwa. Kama unabisha nitajie ofisi moja ili tubishane. Kwa hiyo, hatua zaidi tunatakiwa kuchukua kama nchi. Bahati mbaya zaidi hata viongozi wa juu nao ni walewale tu.
Ninakupa hii sio mambo ya kusimuliwa. Kama unabisha nitajie ofisi moja ili tubishane. Kwa hiyo, hatua zaidi tunatakiwa kuchukua kama nchi. Bahati mbaya zaidi hata viongozi wa juu nao ni walewale tu.[emoji817][emoji818]
 
Africa is dark continent,
Ndio maana Magu hakuwa na muda na watumishi wa Umma,

Binafsi tangu mwezi 6 mwaka jana nahangaika na Loan board HESLB)
Wanipe loan statement bila mafanikio.
acha uongo dogo. Heslb wanatoa statement ndan ya nusu saa pale makao makuu, na kila kanda.

Hata ukiwatumia email wanajibu.
 
Sheria ya maternity leave ipo kwenye mkataba, sasa unakasirika nini?
Sijakasirika ila tambua ni kitu ambacho kipo hakiepukiki kinaweza kuwa sababu ya kupunguza utendaji kazi kwa baadhi ya section haswa muhusika akitoka.
 
Huu ni ukweli aisee tuseme ile hali..

Kazi nyingi hazifanyiki coz sisi wabongo ni washamba sana kuridhika mapema.

Ipo hivi watu wanatengeneza mazingira ya kuleta story na mambo ya mtaani ofisi while ni mda wa kufanya kazi ..wanawake ni wanaboa sana wao utani na mambo ya nyumbani kazini.

Mwaka Jana palikuwa na staff mmoja wa kike alikuwa anataka kuolewa basi ile week moja kabla pale ofisi imekuwa ndo sehemu ya maandalizi yaani wanawake wanaboa mara waje na nguo za sare pale kuonyeshana ,mavigelegele kibao,kupenda makundi dk mbili mtu katoka section yake kaja kwa mwingine ni stori tu na Kuna wanaume pia.

Kingine unakuta wanawake hao waliokuwa na mimba au walijifungua basi wanatoka mda kabla ya muda husika ili kwenda nyonyesha ni very boring katika utendaji kazi kwa kweli waliangalie hili wanawake sio wa kuwategemea ..Mwaka Jana tulipata usumbufu coz wanawake wawili walijifungua nafasi zao itabidi sisi tureplace wakati tuna kazi zetu kazi ngumu kwa kweli .

Africa wengi ni washamba wanashindwa kutofautisha sehemu ya kazi na nyumbani pia wanaamini kweny uchawa yaani sio utendaji kazi kwamba yeye kupata safari nyingi ni kumshobokra bosi sio kufanya kazi kwa juhudi..Mtu anaweza kwenda safari ya kikazi ila kuja kuandaa ripoti ya hiyo kazi ni balaa.

Ukweli ni kwamba watu wapige kazi sio porojo na kukalia majungu .
Maofisin kuna watu wanajiona wao ndio wanastahil kusafiri wao tu.wao ndio wana shida na safar wao ndio wanastahil kulipwa ila akisafir mwingine yeye hana shida.
Ila bila kujua yana mwisho hayo,safiri hata safar zote za wizara ukiweza wao si ndio wajanja bwana
 
Mfumo wa majimbo ungekuwa suluhisho kubwa la utoaji huduma mbovu.
 
Back
Top Bottom