Nioneshe ofisi yenye weledi wa kimataifa nami nikuoneshe kuku mwenye mwanya

Kuna miezi nimekatwa lakini haionekani, na deni halipungui, hivyo taarifa zangu pia hawajaziwek sawa,
Possibly
Inatokea

Kwetu tulipata simu ya wao kutaka schedule ya mwaka 2020.
Kule walikuwa wanaona pesa, lkn hawaoni ni kina nani wamekatwa.
 
Uliende ofisi ya DPP?
 
Pole

Sasa hao duh
Mbona ni muda mrefu sana wamekupaki!!?
 
Tena hao ni wajinga kabisa. Watu wanamaliza mikopo wanaendelea kukatwa. Wengine wanakatwa hawakuchukua mkopo.
Mimi walinikata zaidi,wakaniambia nidai watarejesha huu mwaka wa tatu.
Mimi Nimefatilia tangu mwezi wa 6 mwaka jana wanipe loan statement niwalipe, maan nishalipa lakini deni halipungui wala haliishi, imeshindikana.

Nimeenda pale mwanza bila mafanikio,
Tena ni wazinguaji sana,

Nimefatilia hadi makao makuu dar (Temeke pale)

Ndio nikakuta Kuna makato yangu kwa miezi kadhaa

Yalikuw yanaingia kwa mnufaika mwingine ambaye majina yangu yanataka kufanana,

Haya wakaniahid kushughulikia, mara shida ni MA-IT,
Na hawakuwepo ofisini,

Lkn mpaka leo kimya, kwenye mfumo hakuna progress yoyote.

Simu hawapokei, msg hawajibu.
 
Tuwe serious hakuna huduma nzuri kwa taasisi na kampuni zote za serikali angalau kdg secta binafsi ila kuanzia utosini mpk mjumbe wa nyuma 10 ni walewale
Mwaka jana nilienda kwenye kampuni fulani niliagiziwa ina bidhaa bora, kufika pale nikasaini getini nikaagiziwa ofisi

Kufika nakutwa mwamba ana type tu haniangalii, nikampa karatasi ya vipimo akapiga hesabu akanipa bei hapo anaangalia pc yake tu.

Akaniagizia chumba cha pili kwenda hakuna mtu, nimekaa kama dk 10 kumbe mhusika yupo kwenye ist anakula kiyoyozi,

Aisee nilitoka kwa hasira nikaenda kwa wachina nikapokelewa kama mfalme

Kuja kuchunguza kumbe ile kampuni ina hisa na serikali
 
Kampuni ya kigeni pekee niliyoona inasumbua ni DHL stage ya kutuma mzigo tu, hatua nyingine wako sawa. Unasubirishwa sana kama hawakuoni unaweza jiuliza hii ni DHL au Mapembelo. Wana staff wachache na eneo dogo la kuhudumia watu
 
Unaenda na hela kulipa ajabu unaambiwa mara umeme hakuna, mara mtandao haupo vizuri au haupo kabisa hadi kesho hapo umeenda kuwalipa pesa ndio unajua haya majamaa ni masenge sana yenyewe na viongozi wao
 
Hapo ndipo ngozi nyeupe walipo tupiga bao
 
Daah pole sana
 

Hilo la wanawake kujifungua Yaani maternity leave ni haki kimataifa siyo Tanzania tu

Tuseme ukipata ajali hauna haki ya matibabu?ufukuzwe kazi?
 

Una moyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…