Nipambanaje na wawangaji bila maombi na bila kutumia nguvu za giza??

Nipambanaje na wawangaji bila maombi na bila kutumia nguvu za giza??

Mkuu maombi ni silaha katika kila jambo, Muombe Mungu na mkabidhi yesu maisha yako hakika hautapata tabu tena , wachawi watakuja Kwa njia moja Ila watasambaratika Kwa njia sana. Mtegemee Mungu, Kwa akili zetu au sijui njia za asili ni bure mkuu. Hata hizo nguvu za giza ni kujidanganya tu hazina kitu. Mungu ndie muweza wa yote. Omba mkuu Mungu hachelewi.
Ahsante, naamini utamuomba sana Mwenyezi Mungu.
Amen, asante mkuu
 
Wengine wanasema ukipaka mafuta ya kitimoto basi ni kiboko yao. Jaribu hiyo mkuu
 
Lala uchi tu wakija watahisi ni mwenzi wao so hawatakusumbua.
 
mwaga chumvi ya mawe nyumba yote au kuzunguka kitanda,hii mbinu aliyufundisha [HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG]
 
Mkuu jana nimekemea sana. Nikanyunyiza na maji, lkn wapi!!
hahahahahah, pole mkuuu
Iman yako ndio itakayokuponya. usipoamini nguvu ya Yesu ndani ya maisha yako ni ngumu kushinda.
Kwanza amini yeye ni mshindi wa vyote na hakika hakuna kitakachokushinda juu ya hilo jina kuu kuliko majina yote.
Ubarikiwe sana.
 
hayo mambo nimejionea Mwenyewe Jana kulala na kuamka pesa zote zimeibiwa kwa pochi ama kweli kuna wanga usiku
 
Back
Top Bottom