kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
- Thread starter
-
- #21
Amen, asante mkuuMkuu maombi ni silaha katika kila jambo, Muombe Mungu na mkabidhi yesu maisha yako hakika hautapata tabu tena , wachawi watakuja Kwa njia moja Ila watasambaratika Kwa njia sana. Mtegemee Mungu, Kwa akili zetu au sijui njia za asili ni bure mkuu. Hata hizo nguvu za giza ni kujidanganya tu hazina kitu. Mungu ndie muweza wa yote. Omba mkuu Mungu hachelewi.
Ahsante, naamini utamuomba sana Mwenyezi Mungu.
Aah masikhara ayo,washa taa wafungulie mziki wa alikiba huu mpya au huyu wa rickross wa haleluja...watatulia utalala salama salimin
Picha gan sasa tena? Wanga wanaonekana mkuu?Weka picha mkuu
Hii ntafanya. Inasaidia wasifike nyumban au ni kinga yangu binafsi?Tafuna kitunguu thoum wakati wa kulala,afu pendelea kulala na nguo au shuka nyeupe.
Chit chatHuu sio ushaur mzur
hahahahahah, pole mkuuuMkuu jana nimekemea sana. Nikanyunyiza na maji, lkn wapi!!
[emoji23]Vaa chupi hku umeigeuza nje ndani hakun ataesogea