Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Kwahyo kikwete,mkapa na nyerere walilala sana kutokutaka vijiji vyao viwe mkoa na kujipendelea?Mchakato wa Chato-Burigi kuwa Mkoa ulikamilika tangu JPM achaguliwe kuwa Rais. Ni wazo alikuwa nalo siku nyingi sana. Alianza kugawa jimbo, Wilaya na baadae Mkoa. Sema utata ulikuwepo kwenye mgawanyo wa mipaka, makao makuu na jina la Mkoa mpya.
Angekuwepo wangeuita jina lake au Rubondo.
Mie nawaonea huruma watu wa Chato , watahangaika sana kuukamilisha huo mkoa kwa hadhi na huduma! Hili jambo Mwendazake ndiye alikuwa mkandarasi tangu kuibadili Chato kutoka kuwa kijiji hadi kuwa wilaya na jimbo!Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Yeah! Hilo ndilo lilikuwa la kufanya ila sio project ya mkoa mpya! Hapana! Waziri Ummy naomba turudi mezani kwa hili!Wangebadilisha mkoa wa Geita uitwe Chato kuliko kugawa gawa mikoa, how about mikoa mikubwa ka Morogoro, Tabora au na wao siku wakipata Rais ndio wataigawa hyo mikoa?
Aibu tupu kufanya vitu bila kufata utaratibu
Ndiyo siasa za kiafrika hizo, ubinafsi na upendeleo...Mwanza imezaa mikoa miwili ndani ya muda mfupi sana!
Hii ajenda ni ya kuifuta tu kwasababu tangu mwanzo ina vimelea vya ubin afsi na ubaguzi! Mkoa wa Geita wenyewe bado haujakamilika sawsawa, ulisharukia Chato!Hadhani mipaka ya mikoa jirani na CHATO itaguswa katika kuunda mkoa mpya wa CHATO. Kuna uwezekano makao makuu ya baadhi ya mikoa itakayoguswa na huu mchakato nayo kubadilika kidogo.
Nawasilisha
Magufuli nalikua kiongozi mbinafsi sana ila watanzania hawajui tuuuHii ajenda ni ya kuifuta tu kwasababu tangu mwanzo ina vimelea vya ubin afsi na ubaguzi! Mkoa wa Geita wenyewe bado haujakamilika sawsawa, ulisharukia Chato!
Nakumbuka mwaka 2019 nilikuwa mkoani Ruvuma ambapo Hayati Rais Magufuli alikuja kule akitokea mikoa ya Lindi na Mtwara alikowaambia watengeneze hata Gongo ya Korosho kutokana na uhaba wa soko lake! Akiwa Ruvuma nako alitoa kauli ya kutatanisha alipoombwa wana Ruvuma kuugawa mkoa wa Ruvuma kutokana na ukubwa wake! Nakumbuka Rais alikataa ombi hilo na kuwaambia suburini nikimaliza utawala wangu mbaki muweke hata mikoa Hamsini! Wakati Ruvuma wanaambiwa hivyo kule Chato ajenda ikapita chapchap!
Nyerere aliwahi kusema Katiba yetu ni mbovu sana inaweza ikatuletea dikteta na mungu-mtu.Kwahyo kikwete,mkapa na nyerere walilala sana kutokutaka vijiji vyao viwe mkoa na kujipendelea?
Gaidi mpenda BapaGaidi lilitokea CCM[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1958209View attachment 1958213View attachment 1958211View attachment 1958212
View attachment 1958214
Itakamilika ngoja tupate hadhi ya mkoa.Hatimaye.........hivi ile International Airport haijakamilika bado hapo Chato?
Gaidi lilitokea CCM!πππ
bado kuna mingine miwili inakujaMwanza imezaa mikoa miwili ndani ya muda mfupi sana!
Sasa marehemu hamza hapa anaingiaje?Gaidi lilitokea CCM[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1958209View attachment 1958213View attachment 1958211View attachment 1958212
View attachment 1958214
We unaota ? Achana kabisa na Geita yetu. Eti ibadilishwe jina. Unaifahamu Geita wewe ?Wangebadilisha mkoa wa Geita uitwe Chato kuliko kugawa gawa mikoa, how about mikoa mikubwa ka Morogoro, Tabora au na wao siku wakipata Rais ndio wataigawa hyo mikoa?
Aibu tupu kufanya vitu bila kufata utaratibu
Geita yenye dhahabu iitwe Chato ! Hauko serious kabisa na hujui kitu. Unaifahamu Geita wewe ?Yeah! Hilo ndilo lilikuwa la kufanya ila sio project ya mkoa mpya! Hapana! Waziri Ummy naomba turudi mezani kwa hili!
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050