antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duuh..Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
We acha mihemko nani kakwambia dhahabu pekee ndio kigezo cha wilaya kuwa mkoa? Hizo dhahabu si zilikuwepo hata wakati Geita ikiwa ni mojawapo ya wilaya za mkoa wa Mwanza!Geita yenye dhahabu iitwe Chato ! Hauko serious kabisa na hujui kitu. Unaifahamu Geita wewe ?
Jamani mbona Kilimanjaro haipitishwi kuwa Jiji? Kuna Nini?Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Kunywa maji moyo ueleeVile mwendakuzimu amefurahia mchakato kukamilika kutokea huko kuzimu[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1958157
Ibadilishwe tu iwe chato mwendazake si alikuwa nembo yenu wasukumaWe unaota ? Achana kabisa na Geita yetu. Eti ibadilishwe jina. Unaifahamu Geita wewe ?
Morogoro na tabora ni mikoa mikubwa lakini imejaa mapori na hifadhi..wakati ukanda wa shinyanga unapopulation kubwa sana per unit areaWangebadilisha mkoa wa Geita uitwe Chato kuliko kugawa gawa mikoa, how about mikoa mikubwa ka Morogoro, Tabora au na wao siku wakipata Rais ndio wataigawa hyo mikoa?
Aibu tupu kufanya vitu bila kufata utaratibu
Soko la dhahabu limejenga buseresere na katoro..na siyo chato..acha uwongo kudanganya watu wasiojua geifraphiaWe acha mihemko nani kakwambia dhahabu pekee ndio kigezo cha wilaya kuwa mkoa? Hizo dhahabu si zilikuwepo hata wakati Geita ikiwa ni mojawapo ya wilaya za mkoa wa Mwanza!
Alafu mbona hukubisha soko la madini lilipojengwa Chato akati dhahabu iko Geita?
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nKikao maalumu cha ushauri cha Mkoa wa Geita, kimeridhia kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Chato na kupendekeza mkoa huo mpya kuwa na wilaya tano, huku mkoa mama wa Geita ukibaki na wilaya tatu.
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Duu! Hasira zenu Sukuma Gang ni kubwa sana! Sasa mnagombana Chato iwe mkoa kwa huo mtindo wa vodafasta huoni kama mtateseka sana!soko la dhahabu limejenga buseresere na katoro..na siyo chato..acha uwongo kudanganya watu wasiojua geifraphia
Utasubiri sana ewe chagagangDuu! Hasira zenu Sukuma Gang ni kubwa sana! Sasa mnagombana Chato iwe mkoa kwa huo mtindo wa vodafasta huoni kama mtateseka sana!
Mkandarasi wa hayo yote alishafariki, in short amekufa na ndoto zake, mlipashwa kuanza upya kabisa hilo suala na ikibidi lifutwe maana kwa sasa hata ndani ya baraza la mawaziri Chato haina mwakilishi tena!
We acha mihemko nani kakwambia dhahabu pekee ndio kigezo cha wilaya kuwa mkoa? Hizo dhahabu si zilikuwepo hata wakati Geita ikiwa ni mojawapo ya wilaya za mkoa wa Mwanza!
Alafu mbona hukubisha soko la madini lilipojengwa Chato akati dhahabu iko Geita?
Ibadilishwe tu iwe chato mwendazake si alikuwa nembo yenu wasukuma
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Mie nawaonea huruma watu wa Chato , watahangaika sana kuukamilisha huo mkoa kwa hadhi na huduma! Hili jambo Mwendazake ndiye alikuwa mkandarasi tangu kuibadili Chato kutoka kuwa kijiji hadi kuwa wilaya na jimbo!
Baada ya kifo chake hii ajenda wangejipa muda, wakumbuke hivi sasa hakuna mtu wa kupeleka miradi kwa upendeleo kule Chato, miradi itatekelezwa ndio lakini si kwa ile rate ya Mwendazake!
Kuna mikoa na wilaya mpya mpaka sasa hata majengo ya ofisi bado hayajakmilika achilia mbali hospitali za mikoa na wilaya hizo, hivyo ntashangaa kama serikali itaacha kukmilisha huko ianze kuhangaika na Chato!
wilaya kama magu ilitolewa kutoka mwanzaKwani Simiyu ilikua ndani ya Ardhi ya Mwanza??
Kwani yakimegwa utakosa uhalali nayo?MO mwenye mashamba makubwa karibu kila mkoa amepungukiwa Nini?au Kenyatta mwenye mashamba makubwa kote kenya amepungukiwa nn?Wengine pigeni kelele tu, tunaoumia ni Mimi na Anna Tibaijuka ambao maelfu ya ekari za ardhi yetu yatamegwa kutoka Muleba kwenda Chato...