Nipe jina FM Radio

Nipe jina FM Radio

Inafunguliwa tanga sehemu gan je redio hiyo.itakua ya dini au mambo yote
 
Mkuu Money Stunna ametoa jina zuri zaidi... Amboni FM

Nami napendekeza haya mawili...

1. Sahare FM
2. Bombo FM

Kila la heri mkuu....
 
Last edited by a moderator:
This is a business, there is no free launch you need a consultant.
 
wewe unaendesha kazi kwa remote unategemea nini? watu wanaomba leseni ndani ya mwaka wanakamilisha kila kitu wewe unalialia tu na kuiponda nchi yako huko ulikokimbilia unafikiri kulijengwa na nani?!!

cc: Radio Producer njoo usaidie watu huku wanalialia wana miaka mitano "wanafuatilia" tcra

Umemjibu vyema,
Fear is failure, Ndugu anza na wazo lako, Endelea mbele, TCRA ni nani? ni mdudu gani huyo anayeweza kuzuia Uanzishwaji wa Radio ikiwa umefuata taratibu zinazostahili. Watanzania lazima tubadilike, tujenge Ujasiri wa kusaidiana na kumpa courage mtu mwenye mawazo mazuri ya Kimaendeleo. Kama wewe uliona umeshindwa ukakimbilia nje ya Nchi, sasa unataka na sisi tukimbie? Halafu nani ataijenga hii Nchi?
Ni dhambi kubwa kuikimbia Nchi yako, Ukishindwa kitu kilete kwa waliowahi kukifanya wakusaidie namna ya kupita, Siku hizi kuna Consultant wengi wanafanya kazi za radio na wengine walijitangaza hapa tangu mwaka juzi, watumieni hao wanajua wapi pa kuanza huko TCRA na wanashauri vizuri.
Tukiamua kufanya watanzania tutafanya, zaidi tukiwapuuza wale waoga maana, muoga ni Mlango wa shetani.
Ndugu songa mbele, na ukipata tatizo TCRA nitafute.
Fear not.
 
Napendekeza majina mawili mnaweza chagua moja kati ya hayo.Sababu ya kupendekeza yote mawili ni kuwa jina moja linaelekeana kdg na lililokwisha pendekezwa na mdau m1 ni idea niliyokuwa nayo kabla cjamaliza kusoma huu uzi.

Iitwe T.Fm nikimaanisha Tanga Fm Bila A km ilivyopendekezwa hapo juu au

Y.Fm nikimaanisha Youth Fm kwa kuwa inawahusu vijana zaidi.

All the Best.
T inaweza kumaanisha tea yaani chai amabyo inalimwa tanga
 
wewe unaendesha kazi kwa remote unategemea nini? watu wanaomba leseni ndani ya mwaka wanakamilisha kila kitu wewe unalialia tu na kuiponda nchi yako huko ulikokimbilia unafikiri kulijengwa na nani?!!

cc: Radio Producer njoo usaidie watu huku wanalialia wana miaka mitano "wanafuatilia" tcra

Mh! mh! mitano?
 
Habari wadau wote jamvini. Radio mpya ya kisasa inategemewa kufunguliwa mkoani Tanga mwanzoni mwa 2015 hivyo tunaomba mawazo yenu kwenye jina la Radio. Tumeona ni vyema tukachanganya mawazo kwenye kutafuta jina la Radio hii. Yeyote atayetoa jina ambalo litaonekana linafaa kutumiwa na kituo hiki cha radio basi ataalikwa kuhudhuria ufunguzi na pia atabaki kwenye kumbukumbu ya kituo chetu. Mawazo yenu ni muhimu sana kwa wakati huu. Karibuni

Mkuu upande wa jina nadhani hakuna shida.

Cha muhimu ni maandiko yote yanayohitajika na TCRA. Yakiandikwa vizuri haichukui muda sana depends na kamati ya waziri. Tunaweza kuwasaidia kufanya kazi hii ya kuandika maandiko yote ya TCRA kwa gharama nafuu.

Asante
 
Jupiter au Mshtarii FM
Venus au Zuhura FM

Jupita au mshtarii ni sayari kubwa kuliko zote kwenye hii galaksi ya maziwa

Kama unapenada mambo ya nyota na sayari, Jina mojawapo kati ya hayo linaweza kufaa.
 
Jamii FM

Hapa nimeangalia source ya wewe kupata jina. Ni jamii forums.
Na ni jamii ya watanzania (wengi) ndio inaenda kusikiliza na kuitumia hiyo radio.
Hebu angalia sana hilo.
 
Back
Top Bottom