House4Rent Nipe milion 3 nikuachie pa kuishi

House4Rent Nipe milion 3 nikuachie pa kuishi

Dressing

IMG_20210823_162745.jpg
 
Tv mbona hujaiweka kwenye list mkuu?
 
Ila hiyo nyumba ni nzuri sana kwa ndani. Ila Dar kupata makazi mazuri utasikia bei za ajabu ajabu utadhani unalipia marejesho ya mkopo .
Hakika mkuu, nyumba ya hadhi fulani hivi, Mwanza nyumba za kupanga nyingi ndiyo maana bei nzuri
 
Mwenye kuhitaji wakuu, nina shida na hela
 
Kama unakuja dar kuna baadhi ya vitu nikuunge uje navyo, usafiri juu yangu.
 
Back
Top Bottom