Pesa unatuma au tubebe tu mizigo?Ahsante sana mkuu kwa moyo wako... Ila si Dar
Sasa mtu kashasema usafiri juu yake kwanini usimsafirishie tu?? Au mizigo haiwezi safiri yenyewe kwenye gari??🙄🙄Ahsante sana mkuu kwa moyo wako... Ila si Dar
Duh... mbona hiyo bei ni kama ya kutupa kabisa?Mill 3 mkuu hutopata mtanzania wa kulipa hiyo pesa aisee ...ngoja tuone
Mkuu hiyo makitu ingekuwa Dar, ningekuongezea kabisa laki 5 uniachie mapazia, mashuka na kila kitu. Yani mchepuko unahamia na begi lake tu...Karibu mkuu
Mimi mtu mzima, nimekuelewa uzuri sana...Pazuri hadi raha!
Una michepuko karibia 7 mzee wewe, au utamchagua yule wa kule Bunju?Mkuu hiyo makitu ingekuwa Dar, ningekuongezea kabisa laki 5 uniachie mapazia, mashuka na kila kitu. Yani mchepuko unahamia na begi lake tu...
Kila la kheri Mkuu... umejilipua kiume...
Kwani shuleni pia si kuna mwali wa zamu?Una michepuko karibia 7 mzee wewe, au utamchagua yule wa kule Bunju?
Shemeji sijafeli sema tumechoka kumuamulizia ugomvi wifiKwani shuleni pia si kuna mwali wa zamu?
Shemeji unafeli wapi?
Umeelewa nini we babu😂Mimi mtu mzima, nimekuelewa uzuri sana...
Umeshakuwa mkubwa ujue ... 🤣🤣🤣🤣Umeelewa nini we babu😂
Siku hizi nshakuwa mkubwa,,, siogopi tena bastola🤣🤣🤣Shemeji sijafeli sema tumechoka kumuamulizia ugomvi wifi
Hii utaniachia kwa bei gani??