Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Kijiji gani!
Achana na wale wa mjini mgeni akienda hasa wavuvi unakuta umeandaliwa mwanamke tayari ule ni uhuni..
Nitajie kijiji chenye mabaki ya waarabu halafu wanamaadili sahihi.
Wewe jamaa ni muongo sana
 
Kanda ya ziwa Napenda sana esp Mwannza Musoma hiyo masato yale ...furu..ningu wooii samaki watamu wale jamani ..usafiri ndege moja tu upo dar..Beach...japo gharama za maisha zipo juu bei za vyakula ss hazishkiki ndizi zinalimwa tarime hapo jirani lkn beinkali ndizi 1 00 while huiu ruvuma 2500 unapata mkungu mzima,viazi tele..maharage kibaao mahindi bwelele maparachichi mengi kila nyumba inamparachichi na mgomba cha ajabu wenyeji si wapenzi kiviiile lkn si sababu I love Lake zone japo nipo Ruvuma..
 
Kama unataka kuendelea Baki huko huko Ruvuma ila kama unataka umaskini na kansa Rudi kwenu Kanda ya Ziwa
 
Pamoja na sifa zote mnazoipaga Mwanza ila watu Wana make pesa Dar,Arusha na Dom huko kwingine ni second hand choice
 
Mzee baba umechambua vizuri sana,,sema pale ndanda ni kama ujerumani mwanangu yaani kule water source ni kama ardhi iliyomegwa kutoka ujerumani na kuwekwa pale 😂😂😂
Ndio mana ndanda inaitwa kipande cha ulaya
 
karibu tarime
1.Hali ya hewa nzuri sana
2.hawapendi mambo ya kijinga, hata mbowe akizingua tunamtoa nduki, wale wa kijani wanaatujua vizuri
3.usafiri wa uhakika, tuna enjoy mahitaji kutoka nchi jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…