Mzeee umakamia sana papuch ahaaaaaa take carePoa mkuu. So naweza kupiga hao mia ndani ya miezi mitatu? Kwa mana ya urahisi wa upatikanaji wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzeee umakamia sana papuch ahaaaaaa take carePoa mkuu. So naweza kupiga hao mia ndani ya miezi mitatu? Kwa mana ya urahisi wa upatikanaji wao?
Nachingwea chuo cha veta ndo kinajengwa sahvMimi mtoto wa mjini daslamu kaka hayo matusi kwangu ni kawaida sana.Aisee nitakuja huko patanifaa sana huko. Nyumba au vyumba cha kupanga hapo Nachingwea ni sh ngapi? Kuna chuo cha VETA huko?
Mzee wa fisi kwema?tukutane hapo parisMkuu me sikai nachingwea naishi lindi huko naenda kikazi tu pamoja na ruangwa,masasi.kilwa,liwale,tandahimba,mtwara,masasi,tunduru n.k huko kote ni site tu makazi ni lindi ndo naielewa vzr sasa lindi mjini huku hapakufai watoto wa lindi A wameharibika sana kitabia bora pc za shamba so kuna vijiji vya karibu takupeleka kuna mabaki ya waarabu mtoto mkali halafu anatoka nyumba ya tope
Nimezaliwa na kukulia ukanda wa Pwani nimesoma Dodoma, Iringa na Mtwara yaani O Level, Chuo na Advance, kwa Mtwara shule ni hapo Ndanda ulipopasema. Vijiji vya Mwena, Mkalapa n.k Vibe la Dar tangu nikiwa mtoto. Nimeishi nikifanya kazi Mwanza mjini. Nimefika Geita, Musoma, Mara mpaka Sirari, Kahama, Simiyu hasa Bariadi bila kusahau kisiwani Nansio, Ukerewe kupitia Bunda.Nimezaliwa na kukulia kanda ya kati ila Shule nimesoma sana kanda ya pwani ya mashariki dar na maisha ya kikazi nikatupwa kanda ya kusini na bahati nzuri field zangu nimebahatika kufika wilaya zote za mtwara lindi na ruvuma nimezizungikia zaidi ya mara kumi.sababu tatu kwanini ukanda wa kusini umeninogea sana ni AMANI,UOTO WA ASILI NA VIBE.
1.Aman;Watu wa huku ni wastaarabu sana sio rahisi kukuta wakigombana hakuna migogoro wala kesi kubwakubwa ukitoa tukio la jamaa wa madini kuuwawa sijawahi kusikia lingine matusi wanatukanana ila yanaisha juu kwa juu ni kama sehemu yao ya utani .huku hata ukiwa na tabia za seleman kushika wake za watu kwenye pombe hupigwi unaangaliwa tu hakuna wivu wa kimapenzi maana kuachana ni suala la dakika tu.
2.UOTO WA ASILI;kuanzia kipande cha kilwa kivinje ,mpara na masoko hali ya hewa ni nzuri pale kisiwani waarabu walishakula bata long time ago njoo mpaka mchinga na kijiweni kuna beach nzuri na mabaki ya watoto wa kiarabu njoo mpaka kwenye mashamba makubwa sana ya minazi ng’apa ni kuzuri lindi yenyewe iko shimoni sawa na 0 usawa wa bahari pamoja na mabonde ya Rutamba Milola na rondo plateu miliman kama uko ulata elevation ni 500 m toka USawa wa bahari.milima ya rondo inamwaga maji kuja nyangao mto lukuledi pamoja na Makonde plateau huko newala ubaridi kama ulaya chini kidogo utakutana na ndanda ukienda Tunduru Mbinga songea ndo pazuri ajabu mto ruvuma unafanya pawe na ubichi huku wamatengo na wangoni wakichapa kazi kwa ukarimu.sijakupitisha selous na kwenye corridor za tembo kwa kweli kusini haijaharibiwa mazingira yake.
3.VIBE;mangoma unayoyasikia anayapiga mr miso misondo huku nimeanza kuyaenjoy miaka mitatu nyuma huku mtwara na lindi kuna unyago shughuli ambazo zinaanza na kigodoro kinakesha kisha kesho yake unyago unachezwa watu wanaonyesha utaira kama wazee wa makoti .kunakuwa na chama kinakuja kukushika mkono. Aisee wakilewa fujo lake balaa mixer kujimwagia mavumbi ila uzuri hakuna ugomvi hata kidogo ndo maana lile vibe la mr misondo sisi huku tunaona kawaida sana hata hizo ngoma anazopiga ndo zinazorudiwa huku zilezile.
Changamoto kubwa ni upatikanaji wa vyakula jamii ya nyama za kuchoma tushazoea minadani nyama zinachomwa huku hakuna na pia maokoto sio sana maana viwanda vichache atleast vingejengwa kama vya dangote hata vitano aisee huku pangekuwa best place kuishi .
Asante sana mkuu vipi lakini watoto wa kike wanapatikana lakini mkuu?Nachingwea chuo cha veta ndo kinajengwa sahv
Mkuu
inbox inagoma kufunguka kupitia browser na sina app..ni rahisi sana huku kikubwa ukitoa kishika uchumba na hela ya barua mfano 50000 au laki unaachiwa mwanamke.kumpata ili umuone kama mzuri uongee nAye ni kwenye mashughuli ya unyago pale wwnakuwepo wasichana wengi sana hivyo utamchagua ambaye ana aibu sio wale walevi wakucheza ovyo ila kwa ushauri katika makabila matatu ambayo ni wamawia wamakonde na wamwera nakushauri wamawia na wamakua ambao wanapatikana masasi na tunduru kdg wana nidhamu sana na ndoa tofauti na wamwera na pia wana akili karibu lindi tutembee maeneo mbalimbali watoto wa huku wapole kuhusu mapenzi usiwaze kbs viuno ndo kama vyote na wengi ni wa kienyeji
Au bwana wewe nenda mbele hukoWanawake wa kimwera pasua kichwa sana…Utasikia m huyu kaka “nimemghaili”…..Na wanapenda sana mgawane mali
Mkuu maswali gani hayo kila Veta haikosi vimwaliAsante sana mkuu vipi lakini watoto wa kike wanapatikana lakini mkuu?
Kaka nakata tiketi kesho. Naondoka Mtwara jumapili asubuhi nalala mtwara jumapili jumatatu naripoti nakuweka logistics zangu then nikiwa narudi Dar nitakaa Lindi kama siku 3 then narudi Dar halafu mwezi wa pili ndo narudi Mtwara rasmi. Nitakuwa nakuja sana Lindi. Pia nitatembelea kote Nachingwea Masasi Newala Ruangwa Liwale Runduru etc labda kasoro Kilwa tuMkuu maswali gani hayo kila Veta haikosi vimwali
Na Hapanuki kama DsmArusha.. hali ya hewa tulivu na hamna misongamano ya watu.
Ko uko hapo mbamba bay unafaidi kutazama miili ya mabinti wa watu?Nyanda za juu kusini hususani Ukanda wa Ziwa Nyasa wote nachopenda kuona ni wanawake wakioga ziwani wakiwa watupu kabisa aisee ni raha mstarehe vuta picha mchana wa saa sita jua kali binti anaogolea akiwa mtupu au na chupi tu.
Kama kwenu hakuna ziwa wala mto huwezi kuelewa
Factors nyingine ni kula samaki fresh kutoka ziwani na ugali wa muhogo, hali ya hewa na utulivu.
Kijiji gani lindi kuna mabaki ya waarabu?Mkuu me sikai nachingwea naishi lindi huko naenda kikazi tu pamoja na ruangwa,masasi.kilwa,liwale,tandahimba,mtwara,masasi,tunduru n.k huko kote ni site tu makazi ni lindi ndo naielewa vzr sasa lindi mjini huku hapakufai watoto wa lindi A wameharibika sana kitabia bora pc za shamba so kuna vijiji vya karibu takupeleka kuna mabaki ya waarabu mtoto mkali halafu anatoka nyumba ya tope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mumetahiriwa? Kwasababu ninyi ni wachafu kama nguruwe vile
Laela ipo pembezoni kwani!! Si road kabisa ama!!Sumbawanga hasa pembezoni kama Tamasenga,Kihanda,Mpui,Miangalua, na Laela.
Kwa hali ya hewa na uoto pazuriiChuga is the best.
Ingawa Tanzania nzima ni sehemu nzuri sana ya kuishi.
Dom iringa bado hazijachangamka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu yan Dom, Iringa na mbeya imechangamka? Au umekosea kuandika?
Ni wavivu sijapata kuona.Kwa stori hizi huko lindi siyo sehem ya kukaa watu akili zao hazifanyi kazi wana utindio wa ubongo