Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Mkuu yaani kiufupi huku hizo kashfa hakunaga yaani toka nije kuna case mbili tu za watu kufungwa kisa kutia mimba maana rafiki yangu ni afisa maendeleo huwa ananipa stori nyingi ya kesi zinaishia nyumbani kwa maana mzazi mwenyewe anakuwa kashamshindwa mwanaye anaona jinsi anavyobadilisha wanaume yaani huku neno kutombwa limebadilishwa wanaitwa kurombwa so unaweza ukaona hata makali ya neno yamepunguzwa ndivyo hata maajabu yake hakuna yaani ni kitu cha kawqida mimi nilijua ningepata kesi lakini wapi utafungwa labda umpe binti ambaye anafaulu sana darasan na wazazi wake wana uwezo ndo maana nakutahadharisha huku mapenzi ni bure kbs so ujue kabsa bikra hutapata wanatolewa la tatu..tena kama Wilaya ya Liwale watoto watoto lwadogo Sana’a huwa wanaachiwa uhuru usiku kwenye vigodoro
Kwa stori hizi huko lindi siyo sehem ya kukaa watu akili zao hazifanyi kazi wana utindio wa ubongo
 
Dodoma, Iringa na Mbeya hii mikoa naikubali kwa sababu ya kuchangamka na pia hali ya hewa ni rafiki ( baridi la kutosha, sio joto npaka mnashindwa kukaa ndani umeme ukikatika)

Nikiachana na hiyo Kanda ya ziwa is the best kule kuna kila kitu kuanzia misosi bata mpaka pisi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu yan Dom, Iringa na mbeya imechangamka? Au umekosea kuandika?
 
Hahaha Mimi nimetokea kaskazini na nimesoma advance Lindi sec.
Aise matusi ni kitu cha kawaida 'baba wewe'. Halafu kubambiana kwenye disco vumbi ndo hatari, mitoto haitaki shule kabisa ila mziki wanaupenda usipime.
Kwenye harusi bi harusi anapigiwa nyimbo za kusutwa mpaka aibu!
Napofanya kazi Luwasa hapohapo
Mandaz ya mama moyo kila siku na mlinzi wa shule lyatuu wa kuzingua ni rafiki yangu mageto mtanda
 
Napofanya kazi Luwasa hapohapo
Mandaz ya mama moyo kila siku na mlinzi wa shule lyatuu wa kuzingua ni rafiki yangu mageto mtanda
Siwakumbuki hao maana ni miaka mingi imepita ila nilipapenda Kwa mihogo mizuri na ile beach safi. Ni huko pia nilipojifunza kula pweza. Maji ya kunywa yanatoka ndanda km huna hela maji ya chumvi yanakuhusu au siku hizi maji hayana chumvi?
 
Back
Top Bottom