myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣🤣Na kuzoea hata mtu asiemjua kwa mfano akipiylta njia ukamwita ukamnyooshea mkono yeye anatikisa mkia kabisa kama anakujua sana yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Na kuzoea hata mtu asiemjua kwa mfano akipiylta njia ukamwita ukamnyooshea mkono yeye anatikisa mkia kabisa kama anakujua sana yani
Hao ni mboga ya jamii flani. Ni mfugo.
Hivi ni kweli Iringa wanakula MbwaHao ni mboga ya jamii flani. Ni mfugo.
Inasemwa hivyo...labda zamani.Hivi ni kweli Iringa wanakula Mbwa
Majinga hayo ata mahindi yakuchoma yanatafuna tuHao ndo wale wanakula chochote hata ubuyu wanakula na wanatema mbegu!
Wanyama wanatabia ya kufanana na mfugaji kwanzia tabia mpaka sura kwa hiyo unataka kusemaje kuhusu sisi wa Tanzania[emoji849]Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
Wajinga hao wanajifanyaga kutafuta point tatu uwanja wa nyumbani. Ugali sio mchezoMbwa pekee mwenye sifa/misifa ili awe mkali lazima aone mwenyeji pembeni.
ukimkuta peke ake ukimkazia macho anajifanya hajakuona ila subiri awe na mwenye nyumba wake halafu utokee atavyojifanya German Sherphad.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na kuzoea hata mtu asiemjua kwa mfano akipiylta njia ukamwita ukamnyooshea mkono yeye anatikisa mkia kabisa kama anakujua sana yani
Sio mafunzo tu mkuu kuna asili ya mbwa ni wakali hata wasipo pata matunzoMbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.
Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
KWELI KABISAAMbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.
Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
Watanganyika ni VILAZA hawajui kufuga mbwa.Hii nikwel kabisa kuna rafik yangu wakizungu alichukua popii tz now naona ni jibwa kali kabisa
Aaah hilo jina chita umenikumbusha mbaliKati ya mbwa 10 sita lazima wanaitwa Simba or Chita
Hii nikwel kabisa kuna rafik yangu wakizungu alichukua popii tz now naona ni jibwa kali kabisa
Noma