Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

Mbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.

Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
 
Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
Wanyama wanatabia ya kufanana na mfugaji kwanzia tabia mpaka sura kwa hiyo unataka kusemaje kuhusu sisi wa Tanzania[emoji849]
 
Mbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.

Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
Sio mafunzo tu mkuu kuna asili ya mbwa ni wakali hata wasipo pata matunzo
 
Akifugwa na mzungu huwa ni mbwa mwenye akili, mlinzi na hodari.

Akifugwa na msambaa, mpare au msukuma ndo wale wanaokula mapera na mahindi wanapata constipation usiku saa ya haja wanalia kwa uchungu wasambaa na wenzao wanasema ameona mchawi.
 
Mbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.

Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
KWELI KABISAA

NAKAZIA
 
Hii nikwel kabisa kuna rafik yangu wakizungu alichukua popii tz now naona ni jibwa kali kabisa
images (80).jpeg
images (81).jpeg

Max of Mzungu vs Simba of mpare(Amelishwa mihogo mpaka nanii umevimba kwa constipation)
 
Hao MBWA ni wazuri tena sana, tatizo hawafugwi inavyotakiwa, hawapewi chakula wala DAWA.

Mbwa wanachakaa, wana minyoo na magonjwa ya ngozi lazima wawe MAPOYOYO.

Halafu kwa desturi ya Tanganyika, mtu akimuona mbwa lazima AMTUPIE JIWE! UPUMBAVU na UKICHAA.

Ndio maana majibwa yamegeuka kuwa MAKOKO, hawabweki WAMEFYATA MIKIA TU kwa sababu ya kurushiwa mawe 24 hrs.
 
Back
Top Bottom