Nipendezwa na Tigo kubadilisha hili jina lilokuwa limeanza kuwa na maana mbovu

Nipendezwa na Tigo kubadilisha hili jina lilokuwa limeanza kuwa na maana mbovu

Sisi tunafsiri katika Global context, kumbuka hiyo ni Global company, siyo kampuni ya kijijini.
Kwa kuwa ni Global kampani, kila wafanyacho hukifanya katika Global context na perspective, so hiyo maana unayosema hawakumaanisha wao ndiyo walichomaanisha
Kwahiyo na mimi natakiwa niende google nika seach pakijinja alafu nikilete maana yake, kisha moja kwa moja nikwambie maana yake ni hii, bila kukuhoji wewe ulimaanisha nini au sababu zipi zimepelekea kujiita hivyo
 
Kwahiyo na mimi natakiwa niende google nika seach pakijinja alafu nikilete maana yake, kisha moja kwa moja nikwambie maana yake ni hii, bila kukuhoji wewe ulimaanisha nini au sababu zipi zimepelekea kujiita hivyo
Kama unaniona mimi ni Global Ahsante na ndiyo.
 
Afadhali hawa Tigo wamebadilisha hili lililokuwa lisha kuwa na maana ya kishenzi
Sema yaaaas

Maana sisi mwenye mishe zetu ilikuwa inatukata kweli

"Naomba Tigo?
"unatigoo hapo?
"Tigo unatoa?

Shwainiiii😅
na kuwakomoa tunasema Mixx by yas ipoo swafiii kabisaa😅

View attachment 3164470
Dah ungejua ungelia kabisa,,,,, yani bora hata lile la tigo hili ndo lgbt laivu laivu
 
Yas ni aina ya neno madaha linalotumika na jamii ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuelezea hali ya kupata utamu au furaha.

Limetokana na neno Yes.

Umeijua maana yake sasa Mkuu?
Wabongo hamkawii mpo mbele ya mda msha jiongeza
 
Wabongo hamkawii mpo mbele ya mda msha jiongeza
Nilikuwa natafuta maana ya neno Mkuu, nilichokikuta ndio hicho.

Sijui kwanini limekubaliwa na mamlaka ilihali tuna sera ya kukataa majina yanayoelekea kuwa na mrengo tofauti na maadili yetu. Na mifano ipo ya yaliyowahi kukataliwa hadi ya watu wakubwa.
 
Afadhali hawa Tigo wamebadilisha hili lililokuwa lisha kuwa na maana ya kishenzi
Sema yaaaas

Maana sisi mwenye mishe zetu ilikuwa inatukata kweli

"Naomba Tigo?
"unatigoo hapo?
"Tigo unatoa?

Shwainiiii😅
na kuwakomoa tunasema Mixx by yas ipoo swafiii kabisaa😅

View attachment 3164470
Naomba nyashi ya jero
Nyashi tapata?
No😂
 
Back
Top Bottom