Bwana Bongo
Senior Member
- Dec 12, 2021
- 146
- 212
- Thread starter
-
- #21
Kwahiyo na mimi natakiwa niende google nika seach pakijinja alafu nikilete maana yake, kisha moja kwa moja nikwambie maana yake ni hii, bila kukuhoji wewe ulimaanisha nini au sababu zipi zimepelekea kujiita hivyoSisi tunafsiri katika Global context, kumbuka hiyo ni Global company, siyo kampuni ya kijijini.
Kwa kuwa ni Global kampani, kila wafanyacho hukifanya katika Global context na perspective, so hiyo maana unayosema hawakumaanisha wao ndiyo walichomaanisha
Kama unaniona mimi ni Global Ahsante na ndiyo.Kwahiyo na mimi natakiwa niende google nika seach pakijinja alafu nikilete maana yake, kisha moja kwa moja nikwambie maana yake ni hii, bila kukuhoji wewe ulimaanisha nini au sababu zipi zimepelekea kujiita hivyo
Dah ungejua ungelia kabisa,,,,, yani bora hata lile la tigo hili ndo lgbt laivu laivuAfadhali hawa Tigo wamebadilisha hili lililokuwa lisha kuwa na maana ya kishenzi
Sema yaaaas
Maana sisi mwenye mishe zetu ilikuwa inatukata kweli
"Naomba Tigo?
"unatigoo hapo?
"Tigo unatoa?
Shwainiiiiš
na kuwakomoa tunasema Mixx by yas ipoo swafiii kabisaaš
View attachment 3164470
Wabongo hamkawii mpo mbele ya mda msha jiongezaYas ni aina ya neno madaha linalotumika na jamii ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuelezea hali ya kupata utamu au furaha.
Limetokana na neno Yes.
Umeijua maana yake sasa Mkuu?
Nilikuwa natafuta maana ya neno Mkuu, nilichokikuta ndio hicho.Wabongo hamkawii mpo mbele ya mda msha jiongeza
Naomba nyashi ya jeroAfadhali hawa Tigo wamebadilisha hili lililokuwa lisha kuwa na maana ya kishenzi
Sema yaaaas
Maana sisi mwenye mishe zetu ilikuwa inatukata kweli
"Naomba Tigo?
"unatigoo hapo?
"Tigo unatoa?
Shwainiiiiš
na kuwakomoa tunasema Mixx by yas ipoo swafiii kabisaaš
View attachment 3164470