God bell
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 590
- 210
Naumwa korodani yapata mwaka sasa.
Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati mwingine.
Nimehudhuria kwa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya zinaa lakini hauonekani ugonjwa wowote.
Nimefanya vipimo vya cancer...siumwi kitu.... Naombeni tiba mbadala nimekata tamaa.
Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati mwingine.
Nimehudhuria kwa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya zinaa lakini hauonekani ugonjwa wowote.
Nimefanya vipimo vya cancer...siumwi kitu.... Naombeni tiba mbadala nimekata tamaa.