Nipeni dondoo za hii bidhaa

Nipeni dondoo za hii bidhaa

bway hermit

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
1,337
Reaction score
2,339
Bei, ubora na sifa zake nyingine
IMG_20210316_073405.jpg
 
Mousuf ni balaa inanukia kwanza inanukia vizuri, harufu haikeri, inadumu kwenye nguo muda mrefu bei yake inaanza Tsh 35,000/= inaweza kupanda kutokana na eneo ulilopo

Kama hujawahi tumia try it hautojutia
Ahsant sana cuteeyes, kuna jamaa nmemuulizia yupo mitaa ya aggrey anauza elf28 kwa sifa hizi ntachukua
 
Back
Top Bottom