Nipeni maoni yenu kwenye hii biashara

Nipeni maoni yenu kwenye hii biashara

Ni kweli watu wanavyokuwa wengi usumbufu lazima uwepo, kwa mtazamo tu, hela utakayoiweka mwanzoni ndio hiyo hiyo itakuwa inajiendesha, muhimu tu mauzo yawe mazuri kwa siku.
Kama nguvu kubwa nitaweka kwenye kupata wasimamizi wazuri, nadhani biashara inaweza ikaenda vizuri; ingawa nawalenga wamama waliopitia magumu katika maisha, nadhani watakuwa na uchungu na kazi
Sure, wale ambao wako established tayari watakupa shida. Tafuta wale ambao wanapiga kazi lakini mtaji unayumba balaa ndiyo watakua na uchungu wa kazi na hawana vitamaa
 
Sure, wale ambao wako established tayari watakupa shida. Tafuta wale ambao wanapiga kazi lakini mtaji unayumba balaa ndiyo watakua na uchungu wa kazi na hawana vitamaa
Nitakachokifanya nitaanza na wasaidizi watatu; nitawapiga shule, ili wapate uelewa kampuni inataka nini, na inataka iwaweze watu gani, na baada ya hapo wataenda field, kuangalia wenye sifa ya uhitaji.
Baada ya hapo tutaingia makubaliano, na kuanza kuwezesha, na kila jioni kunakuwepo na ufungaji wa mahesabu.​
 
Nitakachokifanya nitaanza na wasaidizi watatu; nitawapiga shule, ili wapate uelewa kampuni inataka nini, na inataka iwaweze watu gani, na baada ya hapo wataenda field, kuangalia wenye sifa ya uhitaji.
Baada ya hapo tutaingia makubaliano, na kuanza kuwezesha, na kila jioni kunakuwepo na ufungaji wa mahesabu.​
That’s the way. Targeting TZS 200 from low class but for masses accumulates wealth overtime rather than waiting a rich to pay TZS 10k on your business.

Anza na sample to test the idea.
 
Shemej yangu aliwah fanya hii biashara tena eneo la sokon kabisa alikua anatoa mkopo mpk wa laki 2,,kwa sasa amefilisikaa

Wasumbufuuuuu kurejesha kuliko neno lenyewe,watarejesha vzr siku za mwanzon baada ya hapo ni kilio biashara wanaacha wanakimbiaa

Labda uwe na team kubwa ya kuwazungukiwa kila muda asbh mchana jioni-usiku ila daah sio rahis sana

Mikopo imekua mingi mno kiasi kwamba mjasiliamali mdogo mmoja yuko kwenye kampuni km 7 za mikopooo
 
Mkuu Biashara ni wazo na wazo tayari unalo Sasa Je Uko serious unataka kulifanya kama Jibu ni Ndio Basi fanya Yafuatayo:
  1. Tafuta Chef Mzuri akuteneze Menu na Signature Dishes 2 au 3
  2. Baada ya Hapo unaweza ianzisha kama Franchise.Huwa Napita Dodoma na kuona zile Chef Asili ambapo huwa natamani sana kama Jamaa wa Chef Asili ange adapt Franchise mode ingekuwa Bonge la Idea.Nafikiri itabidi nimtafute
 
Idea nzuri,but wasimamizi wako wawe wakali kwelikweli hakuna watu wasumbufu kama wa mama wa biashara ndogondogo .
All the best
 
Ni kweli watu wanavyokuwa wengi usumbufu lazima uwepo, kwa mtazamo tu, hela utakayoiweka mwanzoni ndio hiyo hiyo itakuwa inajiendesha, muhimu tu mauzo yawe mazuri kwa siku.
Kama nguvu kubwa nitaweka kwenye kupata wasimamizi wazuri, nadhani biashara inaweza ikaenda vizuri; ingawa nawalenga wamama waliopitia magumu katika maisha, nadhani watakuwa na uchungu na kazi

Upo wapi kuna ideas nikupe inaweza Kua bora kulko iyo
Mama ntilie watakupasua kichwa maana wana madeni kibao
 
kilimanjaro itoe vinginevyo utafunga kampuni hata kabla haijaanza kufanya kazi
 
Back
Top Bottom