Nipeni masaa saba tu niko ndani ya mnyama Ford Ranger (Mwanza - Dar)

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wakuu

Leo niko safari froma mwanza to Dar lakin niko na mnyama mkali sana mzee wa kuchanga mbuga ranger ford

Ebhana ee

Nitakuwa nawapa update ya safari na njian kwa ujmla

Safari nitaanza saa kumi na mbili jion kwa sababu naogopa matrafik na fain na jum zisizo na maana

Ukisia ajari ya ford kwa kesho au leo usiku bas jua ni mimi mwana jf mwenzio beira boy from LONDON

Hivyo msiache kutoa IRP zenu ndugu zangu


Nikishatoka usagara tu kuitafuta tinde itakuwa ni habari nyingine nitaondoka usagara misungwi mwanza kwa kitwanga mawe tatu kwa Mwendo wa rocket


Japo safari nitaianzia home igoma

LONDON BOY
 
Duh! Umechoka na maisha? Sali na utubie dhambi zako kabla ya safari
 
Acha usanii!Igoma hatuna hiyo gari na haijawai onekana nyumba yeyote.Nipo Ndama hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…