uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
InaewezekanaMasaa 7 haiwezekani kwa chombo chochote cha usafiri wa barabarani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InaewezekanaMasaa 7 haiwezekani kwa chombo chochote cha usafiri wa barabarani.
Ushawahi kuendesha chombo chochote cha barabarani kwenye barabara inayozungumziwa hapa?Inaewezekana
Kumbe Dar si mchezo mchezo
Beira boy nitafika dar saa sita usiku na nitaondoka mwanza saa kumi na mbili jionView attachment 1211235
Nilishawahi zaidi ya mara Tano, Mara ya kwanza nilitumia saa 12, baada ya uzoefu saa 10 tu.Ushawahi kuendesha chombo chochote cha barabarani kwenye barabara inayozungumziwa hapa?
Hayo masaa 10 unaweza ukayapunguza kuwa 7?Nilishawahi zaidi ya mara Tano, Mara ya kwanza nilitumia saa 12, baada ya uzoefu saa 10 tu.
Nshagonga berrier ya Misigiri, na wale polisi hawakuona nilikopita.
Jamaa kasema ana ford, tupige mahesabu!!Hayo masaa 10 unaweza ukayapunguza kuwa 7?
Ulikuwa na Ford Ranger ama ulikuwa na gari gani mpaka ulale Moro?Update
Wakuu nilishindwa kufika dar hivyo ilinibidi nilale morogoro
Safari ilikuwa salama na ndefu sana
Mwendo ulikuwa mkali sana ndugu zangu
Asanten kwa maombi yenu
Ni mimi ndugu yenu ngosha nyanda nkoyi wamwise BEIRA BOY
LONDON BOY
Let us assume your approximations and math are correct.Wastani wa jumla hapo ni karibia 135km/hr kwa muda wote...
Umbali wa Mwanza to Dar ni Karibia Km 1100 hivi...
So ukiwa na gari nzuri na mzoefu wa Barabara Mwanza to Dar kwa masaa 8 unatoboa kabisa...
HahahaNi Kiharage