Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Kanyaga wese mkuu. Mara ya mwisho kuja Mwanza niliondoka Dar asubuhi nikalala Arusha. Asubuhi nikakatiza mbugani na majira ya Adhuhuri nikaingia Mwanza.
Safari ilikuwa nzuri sana..
Safari ilikuwa nzuri sana..