Nimeomba namba Kwa pisi flan Kali kichiz ila sasa nilikuwa Niko vyombo nililewa vibaya mno, pisi iliniambia Huwa hainywi pombe, sasa washkaji naomba mnisaidie ile namba aliyonipa nilisahau ku-save kutokana na ulevi.
Nataka nile utamu nisaidieni nipate namba Tena, nimwambie Nini Ili anipe namba Tena bila kuhisi chochote, maana wakati nachukua namba alijua kabisa kama Niko vyombo, ila alinipa sema nilisahau ku-save kutokana na pombe.
Ila ni demu flani mzuuuuuuri kichiz sitaki kumkosa, wadau nipeni ushauri. Nimempenda sana naweza acha pombe Kwa ajil take dah aisee baharia nimepatwa.