Nipeni mawazo wadau kupata namba ya huyu binti

Oyaa mchizi hio pc kali kweli au akili za pombe ?? Pombe ikiisha njoo uandike tena.
 
Acha pombe kwanza
 
Tayari nimeshaibandua,japo imenipa maumivu Kwa mbaali sio sana..
 
Mmmh!!!! hata hujakubali usha anza kushangilia. Mimi huku nakataliwa tu mwanzo mwisho i don't why
Pisi za mtaani mzeebaba huwa zinazingua..mi huwa naruka tu na za baa nakata teni,nabandua..kwisha,sasa hii ya juzi ilikuwa fresh kichiz yan..ina kichwa chepesi kushika namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…