Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha pombe kwanzaNimeomba namba Kwa pisi flan Kali kichiz ila sasa nilikuwa Niko vyombo nililewa vibaya mno, pisi iliniambia Huwa hainywi pombe, sasa washkaji naomba mnisaidie ile namba aliyonipa nilisahau ku-save kutokana na ulevi.
Nataka nile utamu nisaidieni nipate namba Tena, nimwambie Nini Ili anipe namba Tena bila kuhisi chochote, maana wakati nachukua namba alijua kabisa kama Niko vyombo, ila alinipa sema nilisahau ku-save kutokana na pombe.
Ila ni demu flani mzuuuuuuri kichiz sitaki kumkosa, wadau nipeni ushauri. Nimempenda sana naweza acha pombe Kwa ajil take dah aisee baharia nimepatwa.
Nimeacha,tokea juzi sijamwagilia moyo..Acha pombe kwanza
Nishanyonya, ku.ma lakini...Kanyonye wewe
Pisi iko fresh tu,imenipa wepesi kiaina..Oyaa mchizi hio pc kali kweli au akili za pombe ?? Pombe ikiisha njoo uandike tena.
Pisi za mtaani mzeebaba huwa zinazingua..mi huwa naruka tu na za baa nakata teni,nabandua..kwisha,sasa hii ya juzi ilikuwa fresh kichiz yan..ina kichwa chepesi kushika nambaMmmh!!!! hata hujakubali usha anza kushangilia. Mimi huku nakataliwa tu mwanzo mwisho i don't why