Nipeni mbinu ya kubadili hii tabia

Nipeni mbinu ya kubadili hii tabia

RD07

Member
Joined
May 5, 2024
Posts
52
Reaction score
90
Muhali gani wana JF,
Ebana nahisi na naamini hii tabia sio mimi pekee ambaye ninayo, Naomba wenye tabia kama hii tukutane hapa na tushauriane mnaweza vipi kuji control?, au wataalamu wa Saikolojia watusaidie.
Ni kuhusu tabia ya MOYO WA MSHUMAA (Unaungua na kuteketea ili kuwamulikia wengine).
*
Kiukweli nashindwa kuiweka vizuri ila tuu ni ile hali ya kupenda sana kusaidia wengine, kuwa tayari hata kujinyima ili kusaidia wengine, na pindi naposhindwa kusaidia huwa naumia na kusononeka sana moyoni.
*
Ila changamoto inakuja kwamba, mara nyingi huwa sipokei ile thamani ninayostahili kulingana na juhudi nilofanya kujitolea, na hata pale mimi napohitaji msaada kwao au wengine inakuwa changamoto kuupata ama nisiupate kabisa hadi najiuliza mbona mimi naguswa sana na shida zao ila wao hawaguswi na zangu?
Mf. Namkopesha mtu pesa na nisilipwe pesa hizo, au kumkopa niliyewahi kumkopesha na asiguswe na shida yangu n.k.
<> Kuna wengine wananiambia nijifunze kuwa na roho mbaya ndo ntaweza kuendana na Walimwengu, Namimi wakati huo nikiwa na hasira na masononeko najiapiza kuwa sitosaidia mtu tena, kwamba sitokubali kuwa mjinga tena ila najikuta baadae nafanya yaleyale tena nilosema sitofanya (kusaidia).
*
Madeni mengi sana nishayasamehe kwa watu, nakosa ujasiri wa kumpigiapigia simu mtu ili kumkumbusha anilipe najiona kama nakuwa ombaomba kwake, so naonaga bora nipotezee tuu maisha yaendelee, nyingine za kudhulumiwa ndo usiseme.
*
Tunaambiwa kutoa ni Baraka, na anayetoa anaongezewa ila kwa upande wangu hata sio kama nina utofauti wowote kiuchumi, badala yake bado nipo chini tuu...
Badala yake nawaona wale wenye roho mbaya ndio wanaopiga hatua kimaendeleo.
Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu wewe ni mtumwa wa kindness lakini kibaya zaidi wewe mfungwa wa matarajio ya dunia ya usawa.

Kindness is for the weak, tofauti labda umeanua kuisaidia dunia.

Matarajio ndio sumu yenyewe ya kukumaliza, kwa maana ndoto nyingi ni myth.

So fanya hivi:
Kuanzia leo ukae kwenye kioo, umwambie yule kwenye kioo kuwa kazi yake sio mgawa misaada kwa maana yeye mwenyewe anataka msaada.

Umuambie huyo kwenye kioo kuwa, alizaliwa mwenyewe na kufa atazikwa mwenyewe.

Then ukiingia mtaani, kuwa kauzu kwa chochote kile kinacho attempt kutest uzuri wako wa moyo.
 
Muhali gani wana JF,
Ebana nahisi na naamini hii tabia sio mimi pekee ambaye ninayo, Naomba wenye tabia kama hii tukutane hapa na tushauriane mnaweza vipi kuji control?, au wataalamu wa Saikolojia watusaidie.
Ni kuhusu tabia ya MOYO WA MSHUMAA (Unaungua na kuteketea ili kuwamulikia wengine).
*
Kiukweli nashindwa kuiweka vizuri ila tuu ni ile hali ya kupenda sana kusaidia wengine, kuwa tayari hata kujinyima ili kusaidia wengine, na pindi naposhindwa kusaidia huwa naumia na kusononeka sana moyoni.
*
Ila changamoto inakuja kwamba, mara nyingi huwa sipokei ile thamani ninayostahili kulingana na juhudi nilofanya kujitolea, na hata pale mimi napohitaji msaada kwao au wengine inakuwa changamoto kuupata ama nisiupate kabisa hadi najiuliza mbona mimi naguswa sana na shida zao ila wao hawaguswi na zangu?
Mf. Namkopesha mtu pesa na nisilipwe pesa hizo, au kumkopa niliyewahi kumkopesha na asiguswe na shida yangu n.k.
<> Kuna wengine wananiambia nijifunze kuwa na roho mbaya ndo ntaweza kuendana na Walimwengu, Namimi wakati huo nikiwa na hasira na masononeko najiapiza kuwa sitosaidia mtu tena, kwamba sitokubali kuwa mjinga tena ila najikuta baadae nafanya yaleyale tena nilosema sitofanya (kusaidia).
*
Madeni mengi sana nishayasamehe kwa watu, nakosa ujasiri wa kumpigiapigia simu mtu ili kumkumbusha anilipe najiona kama nakuwa ombaomba kwake, so naonaga bora nipotezee tuu maisha yaendelee, nyingine za kudhulumiwa ndo usiseme.
*
Tunaambiwa kutoa ni Baraka, na anayetoa anaongezewa ila kwa upande wangu hata sio kama nina utofauti wowote kiuchumi, badala yake bado nipo chini tuu...
Badala yake nawaona wale wenye roho mbaya ndio wanaopiga hatua kimaendeleo.
Naomba kuwasilisha.
Jifunze neno hapana, uwekee moyo wako mipaka.
Una kitu kinaitwa white knight syndrome, isome. Ila si nzuri sana, hana kwenye mahusiano
 
Kwangu ilikuwa ngumu sana ila niliikataa na Mungu kanisaidia.

Kipindi nakunywa pombe nimewanywesha watu pombe naowajua na nisiowajua,wenye uwezo kunizidi,na ilikuwa kila nikisema kesho sifanyi hivi basi nashindwa ilikuwa ngumu kuacha kiufupi nikuomba Mungu
 
Jifunze kujithamini wewe kwanza, punguza kujali wengine kuliko wewe, dunia ya Sasa hivi imebadilika sana watu hawana roho zenye huruma tena, kwahiyo naweza kukuambia punguza huruma na jiwekee vipaumbele vyako
Muhali gani wana JF,
Ebana nahisi na naamini hii tabia sio mimi pekee ambaye ninayo, Naomba wenye tabia kama hii tukutane hapa na tushauriane mnaweza vipi kuji control?, au wataalamu wa Saikolojia watusaidie.
Ni kuhusu tabia ya MOYO WA MSHUMAA (Unaungua na kuteketea ili kuwamulikia wengine).
*
Kiukweli nashindwa kuiweka vizuri ila tuu ni ile hali ya kupenda sana kusaidia wengine, kuwa tayari hata kujinyima ili kusaidia wengine, na pindi naposhindwa kusaidia huwa naumia na kusononeka sana moyoni.
*
Ila changamoto inakuja kwamba, mara nyingi huwa sipokei ile thamani ninayostahili kulingana na juhudi nilofanya kujitolea, na hata pale mimi napohitaji msaada kwao au wengine inakuwa changamoto kuupata ama nisiupate kabisa hadi najiuliza mbona mimi naguswa sana na shida zao ila wao hawaguswi na zangu?
Mf. Namkopesha mtu pesa na nisilipwe pesa hizo, au kumkopa niliyewahi kumkopesha na asiguswe na shida yangu n.k.
<> Kuna wengine wananiambia nijifunze kuwa na roho mbaya ndo ntaweza kuendana na Walimwengu, Namimi wakati huo nikiwa na hasira na masononeko najiapiza kuwa sitosaidia mtu tena, kwamba sitokubali kuwa mjinga tena ila najikuta baadae nafanya yaleyale tena nilosema sitofanya (kusaidia).
*
Madeni mengi sana nishayasamehe kwa watu, nakosa ujasiri wa kumpigiapigia simu mtu ili kumkumbusha anilipe najiona kama nakuwa ombaomba kwake, so naonaga bora nipotezee tuu maisha yaendelee, nyingine za kudhulumiwa ndo usiseme.
*
Tunaambiwa kutoa ni Baraka, na anayetoa anaongezewa ila kwa upande wangu hata sio kama nina utofauti wowote kiuchumi, badala yake bado nipo chini tuu...
Badala yake nawaona wale wenye roho mbaya ndio wanaopiga hatua kimaendeleo.
Naomba kuwasilisha.
 
Jikune unapofikia na saidia pale inapolazimu. Kuna watu wakusaidia ila sio kila mtu.
 
Mkuu wewe ni mtumwa wa kindness lakini kibaya zaidi wewe mfungwa wa matarajio ya dunia ya usawa.

Kindness is for the weak, tofauti labda umeanua kuisaidia dunia.

Matarajio ndio sumu yenyewe ya kukumaliza, kwa maana ndoto nyingi ni myth.

So fanya hivi:
Kuanzia leo ukae kwenye kioo, umwambie yule kwenye kioo kuwa kazi yake sio mgawa misaada kwa maana yeye mwenyewe anataka msaada.

Umuambie huyo kwenye kioo kuwa, alizaliwa mwenyewe na kufa atazikwa mwenyewe.

Then ukiingia mtaani, kuwa kauzu kwa chochote kile kinacho attempt kutest uzuri wako wa moyo.
Shukran sana Swahiba, hapa nimekuelewa sana asee, nitalifanyia kazi. Ubarikiwe
 
expectation kills!!


yes unafanya ili urudishiwe wema ulioufanya, kama unamfanyia mja wema wewe fanya pasipo kutaraji malipo.
Mwanzoni lengo sio hilo, ila pale unapopatwa na shida kibinadamu huaga mawazo yatakutuma kwa wale ulowah kuwasaidia ukitegemea kuwa watakumbuka wema ulowatendea ila ndo inakuwa tofauti na matarajio. Ila nimekuelewa na umenipa somo.
 
Jifunze neno hapana, uwekee moyo wako mipaka.
Una kitu kinaitwa white knight syndrome, isome. Ila si nzuri sana, hana kwenye mahusiano
Dahh, shukran sana Swahiba, nitafanyia kazi ushauri ulonipa
 
Kwangu ilikuwa ngumu sana ila niliikataa na Mungu kanisaidia.

Kipindi nakunywa pombe nimewanywesha watu pombe naowajua na nisiowajua,wenye uwezo kunizidi,na ilikuwa kila nikisema kesho sifanyi hivi basi nashindwa ilikuwa ngumu kuacha kiufupi nikuomba Mungu
Hongera sana Swahiba. Ngja namm nipite njia hyo
 
Jifunze kujithamini wewe kwanza, punguza kujali wengine kuliko wewe, dunia ya Sasa hivi imebadilika sana watu hawana roho zenye huruma tena, kwahiyo naweza kukuambia punguza huruma na jiwekee vipaumbele vyako
Shukran sana Swahiba, nimeupokea ushauri na nitaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom