Nipeni mbinu za kumkoleza huyu mwanamke aliyenizidi kila kitu ikiwemo umri

Nipeni mbinu za kumkoleza huyu mwanamke aliyenizidi kila kitu ikiwemo umri

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Kuna mwanamke fulani hapa jirani, japo si jirani kivile nilitokewa kuvutiwa naye, na mpaka sasa navutiwa naye. Kwa mara ya kwanza kumuona nilijikuta namshangaa hasahasa macho yangu yalipokutana na mtrako uliotawanyika huku ukipepesuka huku na huko, mnara ulisoma 6G nikajikuta naunga naye njia moja hadi pale nilipopamia sinia la kashata. Huyo mwanamke alinikodolea macho kupita maelezo, na mimi nikajikuta namtupia tabasamu zito muda huo nikila makonde ya mgongo kutoka kwa wafanyabiashara wenye hasira kali

Kwa kuwa karibu na nilipopanga ni njia ya yule mwanamke nikaona wacha nimlie rada. Cha ajabu kila wakati alipopita alinikuta nikiwa na nzi, hivyo ikaniwia ugumu kujichoresha japokuwa kwa muda wote huo mama wa watu alikuwa akinitazama sana kila aliponiona

Huyu mwanamke amenizidi vingi sana, cha kwanza ni umri, kuna gape la miaka 9, cha pili familia, yeye ni Mama X wa mume Y ila mimi ni team Nay wa Mitego aka Bado nipo nipo kwanza almaarufu kama mwanachama wa kataa Ndoa, pia huyo mama ana kazi yake nzuri tu inayotambulika kiserikali, ila mimi kazi zangu ni njunga njunga, unaweza kunikuta kwenye kioski cha matunda kumbe nauza mundende kisirisiri. Lengo langu sio pesa zake, kikubwa nahitaji utamu wake hata kama akiwa ananigeia walau dozi ya mara moja kwa mwezi

Nimekuwa nikiwasiliana naye kwa macho kila nilipomuona. Kuna siku alikatiza tukatazamana, nikamwambia kuwa ananivutia sana, natamani walau kumkumbatia. Nikamwambia pia tutafanya siri, tena siri ya watu wawili, japo sikumtamkia maneno waziwazi ila nilimwambia kimoyomoyo kupitia mtazamano tuliokuwa nao

Siku ya leo nikaamua kujikaza, nikajitoa kimasomaso na kuanza kumuimbisha. Wakati wa mtongozo mzima alikuwa akinitazama tu, nilipohitimisha na kituo amecheka sana, kisha kuniambia "kuwa na adabu", akarusha nywele yake moja ikaning'inia mbele ya uso kuziba jicho moja, kisha akaondoka zake

Walahi tena hata ile kunitizama tu kwa umakini nilijikuta niko hoi taabani, ile ameondoka mbele yangu, nikajikuta niko kwa Mangi nanunua malaika

Nifanyeje kumkoleza, maake naona dalili za kupoteza mbususu
 
Nenda kwa mume wake Y ukumbuke K-Y jelly halafu mwambie akushauri kuhusu jinsi ya kumpata mke wake, ukumbuke kutuletea mrejesho ikiwezekana na picha za video zako ukiwa unatembea hatua nne tu tukuone.
 
Make wa mtu tu tu sumu,kwenye jambo la MTU tut tu ka mbali eeh aah .......

Tumia akili usitangulize nyege wanawake wazuri wapo tu
 
Nenda kwa mume wake Y ukumbuke K-Y jelly halafu mwambie akushauri kuhusu jinsi ya kumpata mke wake, ukumbuke kutuletea mrejesho ikiwezekana na picha za video zako ukiwa unatembea hatua nne tu tukuone.
Siwezi kwenda kwa mumewe, ila msemo wako haumaanishi kuwa wake za watu hawaliwi, wanaliwa vizuri tu, na waume zao wanakula vizuri tu. Niliwahi fanya kazi ya kupokea wateja Gesti. Hence, nina experience na ninachokisema
 
Nenda sana chumvini, usikasirike kwa chochote, msifie sana, jifanye mtu wa kuwa na idea za maendeleo, uje na updates za mambo mapya kidunia na kutoka huko mitandaoni hasa ishu za maana, vuta bangi, paka mkongo nipo pale asipokaa nahamia Khartoum Sudan
 
Make wa mtu tu tu sumu,kwenye jambo la MTU tut tu ka mbali eeh aah .......

Tumia akili usitangulize nyege wanawake wazuri wapo tu
Siwezi kuhangaika na vitoto vya 2000 mimi. Yanini kukimbizana na UTI? Hata nikimla, haina maana eti nitamaliza buyu la asali
 
Nenda sana chumvini, usikasirike kwa chochote, msifie sana, jifanye mtu wa kuwa na idea za maendeleo, uje na updates za mambo mapya kidunia na kutoka huko mitandaoni hasa ishu za maana, vuta bangi, paka mkongo nipo pale asipokaa nahamia Khartoum Sudan
Haya yote ni sawa mkuu. Pointi ya kuanzia sasa baada ya neno alilosema la "Kuwa na adabu"
 
1729326442468.jpg
 
Back
Top Bottom