Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Huyo pambana naye mwenyewe 😀 😀Kuna dada angu mcharuko nikupe namba yake aje na mimba kbsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo pambana naye mwenyewe 😀 😀Kuna dada angu mcharuko nikupe namba yake aje na mimba kbsa
Inaweza kuwa suluhisho, ila itamtesa sanajaribu kumwambia wacha kudhania
Atasepa kwa kuogopa vizinga vyakoNadhani hii itakuwa mbinu ya kistaarabu na haitamuumiza kihisia.
Wamekuwa wengi sana kwa idadi, kwa hiyo wanakuwa wanapambana sehemu ya kutuliaWewe kila siku unakutana na pisi kali tu hakuna manung’aembe! Aidha ndugu yangu, kila siku mchuchu mpya au unapunyetolise tu
Ndio mbinu gani hiiStupid
mzee wa rubbishStupid
Nataka mbinu ambayo ni softKumbe bado unampenda
Hapa ni kusingizia mikopo tuAtasepa kwa kuogopa vizinga vyako
Jaribu kumuomba kwa Mpalange aka Tigo, atachukia then hatokua na hamu na ww tenaUkaribu wake, unaweza kuja kunivunjia ndoa; amekuwa na hisia kali sana kuliko ata mama watoto wangu
Hana shida hukoJaribu kumuomba kwa Mpalange aka Tigo, atachukia then hatokua na hamu na ww tena
Nilitegemea siku zote mambo yatakuwa kama siku ya kwanzaKwa hiyo kwa akili zako ulikiwa unajua kila siku kutakuwa na style mpya za mapenzi au sio?
Tatizo bado ananiganda, hataki kuachia nafasiHuyo mdada hakukutana na alichokitarajia,inaonekana hata mkeo anakuvumilia tu au nae ana sehemu nyingine anapozwa.
Anakuja nyumbani wapi na ulisema umeoa na una mchepuko umezaa nae. Mkiwa waongo muwe mnasave google drive😂😂😂Hivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba.
Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale nilinyoosha mikono juu.
Nikajua kila siku mambo yatakuwa hivyo (sarakasi za kutosha); siku zilivyozidi kusonga mbele zile sarakasi zikawa hazipo tena; akawa anajiweka tu ubavu au kifo cha mende, kazi inakuwa imeisha.
Nilivyomsoma kisaikolojia, ni kweli ananipenda na anajitahidi sana kunipigia pigia simu kila mara kuniuliza nipo wapi, nafanya nini n.k
Changamoto nyingine, anaweza akaja nyumbani muda wowote kwa kunishtukiza, ili aweze kupata fumanizi; nashukuru muumba sijawahi kukamatika.
Sasa, mimi nataka niachane naye; nataka nitumie mbinu ya kuwa namuomba hela ili aweze kunikimbia.
Sasa wakuu, hiyo itafanikiwa? Na kama haitafanikiwa nipeni mbinu nyingine mbadala.
Kwa sababu nimejaribu kuweka vikwazo vya kiuchumi, naona bado anavumilia tu, simpigii simu lakini bado yeye ananipigia.
Nisaidieni wakuu.
Nakutumia, muhimu ujue kumtunza tuKazi ndogo sana hyo. Nipe namba yake.
Mazingira ya majukumu, mara nyingi yananifanya muda mwingi watu kuniona bachelaAnakuja nyumbani wapi na ulisema umeoa na una mchepuko umezaa nae. Mkiwa waongo muwe mnasave google drive😂😂😂
Endelea kumkaza usije ukakosa pa kuhemea sikuMazingira ya majukumu, mara nyingi yananifanya muda mwingi watu kuniona bachela
Jitangaze kwamba unaliwa jicho na jamaa wa dpwHivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba.
Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale nilinyoosha mikono juu.
Nikajua kila siku mambo yatakuwa hivyo (sarakasi za kutosha); siku zilivyozidi kusonga mbele zile sarakasi zikawa hazipo tena; akawa anajiweka tu ubavu au kifo cha mende, kazi inakuwa imeisha.
Nilivyomsoma kisaikolojia, ni kweli ananipenda na anajitahidi sana kunipigia pigia simu kila mara kuniuliza nipo wapi, nafanya nini n.k
Changamoto nyingine, anaweza akaja nyumbani muda wowote kwa kunishtukiza, ili aweze kupata fumanizi; nashukuru muumba sijawahi kukamatika.
Sasa, mimi nataka niachane naye; nataka nitumie mbinu ya kuwa namuomba hela ili aweze kunikimbia.
Sasa wakuu, hiyo itafanikiwa? Na kama haitafanikiwa nipeni mbinu nyingine mbadala.
Kwa sababu nimejaribu kuweka vikwazo vya kiuchumi, naona bado anavumilia tu, simpigii simu lakini bado yeye ananipigia.
Nisaidieni wakuu.