Uchaguzi 2020 Nipeni miaka mitano muone maajabu

Tumpe mingine ili awashugulikie wale wote walio mpinga na waliokusanyika kwenye mikutano ya wapinzani,pia apindue katiba ajiongeze miaka mingine ya utawala.
Nafikiri akishinda kwa haki kabisa basi Wapinzani inabidi wakae kimya kabisa mpaka 2025 mana watanzani wanategemea miujiza na wameridhika na hali watakayokutana nayo kiroho safi.
 
S
Jana mlisema Dodoma hakuna nyomi, leo
Mnaifufua ile corona mliyo izika! Mmeshikwa kunako ubaya, mtaweweseka sana!
Sisi tuliiizikaa, na nyie mliungana na sisi kuizikaaa??
Na zile kiki zenu za kuwa tumia mabeberu zilienda wapiii??
Kubalini tuuuu mkomnatembelea matunda ya jemadari magufuliii.
Kiki zenu zote zinabumaaaaa
 

😁😁 Hivi ni clip gani yule msela alitaka irushwe
 

😁😁 Hivi ni clip gani yule msela alitaka irushwe
 

😁😁 Hivi ni clip gani yule msela alitaka irushwe
 
Sasa kiongozi naomba kuuliza,ina maana walioweka sheria ya kuongezeka mishahara na kupanda madaraja,walikua hawajui umuhimu wa miradi ya Maendeleo?
 
Ni mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kudai katika Nchi yenye population ya 60 millions eti hakuna mbadala wa huyo anayejiita KICHAA.


[emoji122][emoji122][emoji122]
Mimi bado sijaona mbadala wa JPM.
Wiki iliyopita jmosi nilikuwepo pale jamhuri Dodoma kumsikiliza JPM,
Leo nimeenda viwanja vya CCM Mbeya kumsikiliza Lisu.
Naona Lisu bado Sana
 
Tukirudia tena kosa safari hii tumekwisha,tutamswalia mtume atalipiza kisasi.zipo reason mbili why mitano inamtosha.
Kwanza akipita atatutesa sana watz safari tutalimia kucha,uchumi kufa kabisa,kubambikwa kesi,wafanyakazi kuendelea kukomolewa sababu atohitaji tena kura zetu.
Pili atang'ang'ania madaraka atotoka tena atabadili katiba kwa kisingizio cha kukamilisha miradi anaweza pia kila panapokaribia uchaguzi uanzisha mradi mwingine mkubwa labda kiwanda cha cement atoki hadi kikamilike.
Nafasi pekee ni October nje ya hapo tukubali kuumia.
 
Kesho Fiesta Mwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanakuja kuona show sio sera
 
S
Sisi tuliiizikaa, na nyie mliungana na sisi kuizikaaa??
Na zile kiki zenu za kuwa tumia mabeberu zilienda wapiii??
Kubalini tuuuu mkomnatembelea matunda ya jemadari magufuliii.
Kiki zenu zote zinabumaaaaa
Kamanda huyo ndo aliye ondoa corona?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…