Uchaguzi 2020 Nipeni miaka mitano muone maajabu

Uchaguzi 2020 Nipeni miaka mitano muone maajabu

Ni mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anayeweza kudai katika Nchi yenye population ya 60 millions eti hakuna mbadala wa huyo anayejiita KICHAA.

Yawezekana yupo ila hajasimama kugombea
 
Ndiyo atapita akienda chato kupumzika baada ya kushindwa katika Uchaguzi.
Usifanye makosa Dada Oktoba 28 kura yako muhimu sana tukampumzishe Mzee wa Chato.
Mimi ni mpiga kelele tu humu, October nitakuwa nimepumzika nyumbani
Huo muda wa kwenda kupiga kura sidhani Kama nitaupata
 
Dogo r u okey? Hayo madhaifu ya kuua watu bado unajustfy haya?
Mimi nimeangalia upande wa mazuri yake mengi aliyoyafanya.
Hayo ya kuua watu Wala sijui,ninalojua dhaifu lake kubwa ni ajira kwa vijana.
Atakayeahidi kuajiri vijana ndiye nitakayempigia kura.
 
Wait a moment!! Ati unasema pamoja na yote hayo atafanyeje? Huyu madhaifu yamezidi analalamikiwa na kila mwenye akili timamu.
Ngoja tusubiri
Mimi nasubiri tu matokeo..hadi Sasa sijaona wa kuninyanyua kwenda kupiga kura
 
Kuua mtu kwako sio ishu kabisa ngoja nije kumuua mamaako halafu nikupe ajira
Wapi nineandika siyo ishu?
Unajua kusoma???
Huwezi kumpata Hata ukimpata atakufa kwa mapenzi ya Mungu
 
LIJIZI linatoka tulikabizi hazina kwa miaka 10, BIG NO.
CHIZI linaona raha kukabizi wa rungu, lituumize miaka 10...BIG NO.
 
Mwaka 2015 ulipewa miaka mitano na kwa kweli tumeona maajabu mengi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu watumishi wa umma wakasota miaka mitano bila kupata nyongeza ya mshahara ambayo ni haki yao kisheria. Gharama za maisha zikapanda lakini kipato cha watumishi kikabaki kilekile. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia wahitimu wa kada muhimu kama udaktari na ualimu wakisota mtaani bila ajira lakini hospitali hazina madaktari na shule hazina waalimu. MAAJABU.

Tukashuhudia watu wa Kimara wakivunjiwa nyumba bila kulipwa fidia kwa kutumia sheria ya kikoloni ya mwaka 1932. Wakaenda mahakamani, na mahakama ikaweka zuio, lakini amri ya mahakama ikapuzwa na nyumba zikavunjwa. MAAJABU.

Tukashuhudia bunge likifanyiwa "shooting" kama bongo movie. Hotuba za wabunge zinakua censored kwanza. Walioongea maneno makali wanakatwa, walioipamba serikali wanaenda hewani. Bunge likapoteza focus na kuanza kuipongeza serikali wakati kazi ya bunge ni kuisimamia serikali. MAAJABU.

Tukashuhudia RC akivamia studio na mitutu ya bunduki kulazimisha "clip yake ya umbea" irushwe hewani. Chombo husika kikaamua kuzingatia maadili na kukataa kurusha clip hiyo. Waandishi wakavamiwa na kutishwa. Waziri aliyeunda Kamati ya kuchunguza suala hilo akafurushwa. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza mifuko ya hifadhi ya jamii ikafuta fao la kujitoa. Watumishi wa mikataba na wa muda mfupi wakaambiwa hadi miaka 60. Mtu mwenye akiba ya 5M na kwa sasa ana maika 25 unamwambia hadi afikishe miaka 60? Yani miaka 35 ijayo? Akifikisha miaka 60 hiyo 5M si itakua ya kununulia mkate tu? MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia Hakimu aliyekua kwenye likizo ya kustaafu akiteuliwa kuwa Jaji wa mahakama kuu. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia mbunge akipigwa risasi kwenye makazi yenye CCTV camera. Lissu akasema camera ziliondolewa baada ya tukio. Hakuna mshukiwa hata mmoja aliyekamatwa hadi sasa. MAAJABU.

Tukashuhudia mikutano ya siasa ikipigwa marufuku kinyume na katiba na sheria za nchi. Viongozi wa upinzani walipofanya vikao vya ndani walikamatwa lakini CCM walifanya mikutano ya hadhara na vikao bila bughudha. MAAJABU.

Binafsi naona maajabu yametosha baba. Hatutaki maajabu mengine.!

Malisa GJ
Upumbavu na upuuzi mtupu. Kwani watu wa kimara walikuwa kwenye hifadhi ya barabara au hawakuwemo? Sheria iliyotumika ni ya 1932 au ni ya 2007? Nyongeza ya mshahara unazungumzia ipi? Annual increament au kima cha chini? Acha watulie mbona wao hawalalamiki kutumia vyama vyao? Wewe unawashwa nini kuwasemea?
Kama mikutano ilipigwa marufuku kinyume na sheria kwa nini hamkuenda mahakamani?
 
Ni kweli bado mimi ni mtoto na mwaka huu kama nikipiga kura basi itakuwa mara yangu ya Kwanza kupiga maana awamu iliyopita sikubahatika kupiga.

Inabidi unieleweshe Sasa ili nijue
Hujawahi sikia kuhusu Azory Gwanda?
Ben Saanane!
Na Kuna vifurushi vilikutwa kwenye mto ni watu wameuawa?
Ina maana hujui kbs mtu akiongea kitu against mkulu anapotezwa au kuteswa au kufunguliwa mashitaka? Umeisahau Lissu alikua anawtetea Sana Hawa watu? Uko mbeya ya wapi aisee...sema inaonekana una damu ya ccm .uwe na siku njema
 
Hujawahi sikia kuhusu Azory Gwanda?
Ben Saanane!
Na Kuna vifurushi vilikutwa kwenye mto ni watu wameuawa?
Ina maana hujui kbs mtu akiongea kitu against mkulu anapotezwa au kuteswa au kufunguliwa mashitaka? Umeisahau Lissu alikua anawtetea Sana Hawa watu? Uko mbeya ya wapi aisee...sema inaonekana una damu ya ccm .uwe na siku njema
Nimeingia humu Ben akiwa hayupo,
Azory simjui,
Kuhusu vifurushi sijui.
Nipo mbeya mjini hapahapa ila sijaishi sana uraiani..muda mwingi nilikuwa shule.

Mimi si mwanachama wa chama chochote
 
Upumbavu na upuuzi mtupu. Kwani watu wa kimara walikuwa kwenye hifadhi ya barabara au hawakuwemo? Sheria iliyotumika ni ya 1932 au ni ya 2007? Nyongeza ya mshahara unazungumzia ipi? Annual increament au kima cha chini? Acha watulie mbona wao hawalalamiki kutumia vyama vyao? Wewe unawashwa nini kuwasemea?
Kama mikutano ilipigwa marufuku kinyume na sheria kwa nini hamkuenda mahakamani?
Ndugu, wewe ni mgeni hapa nchini?
 
Mwaka 2015 ulipewa miaka mitano na kwa kweli tumeona maajabu mengi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu watumishi wa umma wakasota miaka mitano bila kupata nyongeza ya mshahara ambayo ni haki yao kisheria. Gharama za maisha zikapanda lakini kipato cha watumishi kikabaki kilekile. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia wahitimu wa kada muhimu kama udaktari na ualimu wakisota mtaani bila ajira lakini hospitali hazina madaktari na shule hazina waalimu. MAAJABU.

Tukashuhudia watu wa Kimara wakivunjiwa nyumba bila kulipwa fidia kwa kutumia sheria ya kikoloni ya mwaka 1932. Wakaenda mahakamani, na mahakama ikaweka zuio, lakini amri ya mahakama ikapuzwa na nyumba zikavunjwa. MAAJABU.

Tukashuhudia bunge likifanyiwa "shooting" kama bongo movie. Hotuba za wabunge zinakua censored kwanza. Walioongea maneno makali wanakatwa, walioipamba serikali wanaenda hewani. Bunge likapoteza focus na kuanza kuipongeza serikali wakati kazi ya bunge ni kuisimamia serikali. MAAJABU.

Tukashuhudia RC akivamia studio na mitutu ya bunduki kulazimisha "clip yake ya umbea" irushwe hewani. Chombo husika kikaamua kuzingatia maadili na kukataa kurusha clip hiyo. Waandishi wakavamiwa na kutishwa. Waziri aliyeunda Kamati ya kuchunguza suala hilo akafurushwa. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza mifuko ya hifadhi ya jamii ikafuta fao la kujitoa. Watumishi wa mikataba na wa muda mfupi wakaambiwa hadi miaka 60. Mtu mwenye akiba ya 5M na kwa sasa ana maika 25 unamwambia hadi afikishe miaka 60? Yani miaka 35 ijayo? Akifikisha miaka 60 hiyo 5M si itakua ya kununulia mkate tu? MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia Hakimu aliyekua kwenye likizo ya kustaafu akiteuliwa kuwa Jaji wa mahakama kuu. MAAJABU.

Kwa mara ya kwanza tukashuhudia mbunge akipigwa risasi kwenye makazi yenye CCTV camera. Lissu akasema camera ziliondolewa baada ya tukio. Hakuna mshukiwa hata mmoja aliyekamatwa hadi sasa. MAAJABU.

Tukashuhudia mikutano ya siasa ikipigwa marufuku kinyume na katiba na sheria za nchi. Viongozi wa upinzani walipofanya vikao vya ndani walikamatwa lakini CCM walifanya mikutano ya hadhara na vikao bila bughudha. MAAJABU.

Binafsi naona maajabu yametosha baba. Hatutaki maajabu mengine.!

Malisa GJ

hamchoki kuanzisha thread kila sku aisee, kushinda hamshindi
 
Back
Top Bottom