Uchaguzi 2020 Nipeni miaka mitano muone maajabu

raisi wangu naomba uangalie haya ktk awamu yako ya miaka 5;
Ukanda na ukabila umekuwa mkubwa sana.
Miradi ya maendeleo imekuwa pia na 'uelekeo' huohuo
Hakuna uhuri wa vyombo vya habari na demokrasia
Mihimili mingine iheshimiwe na ifanye kazi kwa mujibu wa katiba.
Budget ziheshimiwe kama zilivyopitishwa na wabunge.
Kuwepo na ukweli na uwazi kama awamu zilizotangulia.
Usawa kwa wote bila ubaguzi, tusiwe taifa la visasi.
nawasilisha.
 
Reactions: BAK
Ndio maana tutachagua "saccos" au chama cha kijamii aka chama cha " familia"
 
Kuifanya Tanzania iwe km chato au kuajiri watz km alivowaajiri watoto wa dada?
 
Nitawapigia endapo kipaumbele Chao kitauwa sera thabiti na kupunguza malalamiko

Pata muda ingia kwenye website ya Chadema, soma Ilani yetu ya Uchaguzi kisha fanya maamuzi sahihi. Pia usiache kuhudhuria mikutano eneo unapoishi kusikiliza Sera zetu .

Kura yako muhimu sana Dada , anzia kwa Raisi mtarajiwa,Mbunge na Diwani kupitia Chama Cha Chadema.
 
Mbunge Mhe.Sugu tayari ana kura yangu ila hao wengine ngoja labda niendelee kuwasikiliza
 
Mbunge Mhe.Sugu tayari ana kura yangu ila hao wengine ngoja labda niendelee kuwasikiliza
Poa Dada tunza vizuri shahada yako, usifanye makosa Oktoba 28 kura zote kwa Chadema itakaa poa sana .
Fanya maamuzi muda ndiyo huu na uzuri huko ulipo amsha amsha iliyopo unaiona kila la heri,Ubarikiwe sana kwa maamuzi sahihi.
 
Poa Dada tunza vizuri shahada yako, usifanye makosa Oktoba 28 kura zote kwa Chadema itakaa poa sana .
Fanya maamuzi muda ndiyo huu na uzuri huko ulipo amsha amsha iliyopo unaiona kila la heri,Ubarikiwe sana kwa maamuzi sahihi.
Mimi nachagua mtu,sichagui chama.
Sera zenu zikinivutia nitawapa kura
 
Naunga mkono hoja, 5yrs kwa Magu.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
Mimi bado sijaona mbadala wa JPM.
Wiki iliyopita jmosi nilikuwepo pale jamhuri Dodoma kumsikiliza JPM,
Leo nimeenda viwanja vya CCM Mbeya kumsikiliza Lisu.
Naona Lisu bado Sana
Mitano tena kwa JPM, asante Mtakatifu Anne.
 
Yes I do care about my fellow citizens when they are mistreated by their own government because someone thinks that he is above the law.

MPUMBAVU wewe hujui lolote zaidi ya kuonyesha UJUHA wako hadharani. Hivyo vyama vya Wafanyakazi vya kuwatetea wafanyakazi ni vipi? Hivyo vinavyotishwa kila siku na huyo anayejiita KICHAA?

Kuna mahakama Nchi hii? Hizo mahakama UCHWARA zinazopokea maagizo toka mamlaka za juu AKA huyo anayejiita KICHAA?

Usidhani kwa vile Babaaako na mamaako wanawashwa basi kila mtu anawashwa ZWAZWA wewe!



 
Dalili zote za maneno uyliyotoa inaoyesha wewe ni shoga ambae unatoa tigo kama mwendo kasi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ baada ya kushindwa kujenga hoja sasa umeishia kuonyesha UJUHA wako hadharani.

Usidhani Babaaako kwa vile kakufundisha wewe hiyo kazi ya UDUNYA kujiuza ili muweze kuishi mjini basi kila mtu anafanya huo UPUUZI. Kunywa glass ya maji barrrrrridi halafu utulizane ZWAZWA.

Dalili zote za maneno uyliyotoa inaoyesha wewe ni shoga ambae unatoa tigo kama mwendo kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…