Nipeni njia nzuri sana

Nipeni njia nzuri sana

Joined
May 28, 2023
Posts
61
Reaction score
79
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.
 
Arudi kufanya nini mchawi huyo?

Badala umshukuru Mungu unataka ushauri kumrudisha
Usirudie tena kushauri wanandoa waachane🤣 We mpe Moyo japo kinafiki, anayeamua kuacha hahitaji ushauri....Wanapendana hao.

Anyway kwako mtoa mada usiwe na haraka ya kumrudisha mkeo, subiri mtoto azaliwe, akifanana na wewe atarudi mwenyewe, asipofanana na wewe tafuta Chaka lingine.
 
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.
hiyo ndoa yako ni ya aina gani? I mean mlifungia ndoa yenu wap
 
Usirudie tena kushauri wanandoa waachane🤣 We mpe Moyo japo kinafiki, anayeamua kuacha hahitaji ushauri....Wanapendana hao.

Anyway kwako mtoa mada usiwe na haraka ya kumrudisha mkeo, subiri mtoto azaliwe, akifanana na wewe atarudi mwenyewe, asipofanana na wewe tafuta Chaka lingine.
Kumbe kuna wanawake mnaoshauri hivi.

Hongera sana.
 
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.
Tatua kwanza tatizo la ushirikina wa mkeo.
Ni rahisi sana wala si ngumu, sali sana na kufunga hata kwa wiki moja tu, na uone miujiza ya Mungu.
Inavyoelekea unampenda mkeo.
Mungu ni pendo, muombee atoke huko kwenye imani za kishirikina.
Amini Mungu na yote yatawezekana.
 
Kijana Mdogo unawahi kuoa ili iweje

Umri wa kuoa unaanzia miaka 40
 
Arudi kufanya nini mchawi huyo?

Badala umshukuru Mungu unataka ushauri kumrudisha
Wew inavyoonekana umepatia sawa sawia, nikupe kisa kimoja; siku moja niliamka usiku nae alikuwa macho usiku huo, nikamwuliza mbona uko macho akasema aliamka usiku huo ghafla akajikuta yuko njiani akiwa na fahamu zake akitembea kuelekea kwenye mkusanyiko wa watu Kama watano au wanne hiv akiongozana na bint aliejifunga nguo nyeus walipofika waendako akapewa kaz ya kupika alianza kupika mboga za majan walipoanza kuonja alikasirika baadae akaambiwa yule bint amrudishe mkewang nyumban walianza kurudi. Mkewang alijikuta yumo chumban mwang amelala akiwa amesimamiwa na yule bint. Yule bint akamwambia wewe lala tu usiogope, bint akatoweka. Mkewang akabak macho anaogopa kulala pengine atarudishwa kule alikopelekwa, ndipo nami niliamka na kumkuta yuko macho.
 
Huyo mchawi, huenda una vitu vinavyomsumbua sana kwa sababu ya mazingara yake na ndio anakuogopa
 
Wew inavyoonekana umepatia sawa sawia, nikupe kisa kimoja; siku moja niliamka usiku nae alikuwa macho usiku huo, nikamwuliza mbona uko macho akasema aliamka usiku huo ghafla akajikuta yuko njiani akiwa na fahamu zake akitembea kuelekea kwenye mkusanyiko wa watu Kama watano au wanne hiv akiongozana na bint aliejifunga nguo nyeus walipofika waendako akapewa kaz ya kupika alianza kupika mboga za majan walipoanza kuonja alikasirika baadae akaambiwa yule bint amrudishe mkewang nyumban walianza kurudi. Mkewang alijikuta yumo chumban mwang amelala akiwa amesimamiwa na yule bint. Yule bint akamwambia wewe lala tu usiogope, bint akatoweka. Mkewang akabak macho anaogopa kulala pengine atarudishwa kule alikopelekwa, ndipo nami niliamka na kumkuta yuko macho.
Naona ushirikina hapa, unamsaidiaje atoke huko ,na inaonekana mkeo nii mzoefu na hajui kutoka katika hili
 
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.
Maombi
 
Hakuna uchawi Wala nn, Iko hivi mke wako anaogopa utamuua ukigundua mtoto aliegoma kumwita jina la mama Ake kama sio wako na hyo mimba sio Yako ndo maana anakuonea huruma na pia anajionea huruma alafu jina la huyo mtoto Aliegoma kuitwa jina la mama Ake kama hujatoa ww aisee jua katoa baba halali wa mtoto CHUNGUZA UNACHEZWA KWA KISINGIZIO CHA MIZIMU HEWA

NB; alafu watoto wanaozaliwa na mke wako ni WA ukoo wako ww kwann unataka kuwapa jina la ukweni umeishiwa majina ya ukoo wako au ww ndo umeolewa? Kama mama mkwe anataka watoto waitwe jina lake asubri watoto wake wa kiume Wazae ndo atoe jina ila sio ww kwako kumbuka unatengeneza ukoo wako
 
Back
Top Bottom