Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 61
- 79
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana na yeye kuficha sababu maalum na kutokutaka kukaa kikao chochote na wazaz wangu wala wa ukweni. Kapangayuko kwake.
Nikijiuliza kwa kina mtoto wa pili hatukumwita jina la mama mkwe, akidai mkewangu mama yake ni mshika dawa Sana tusimwite mtoto jina lake, alipata ujauzito ukatoka kwa kupandisha mizimu yaani ukatolewa kimizimu kwan sikutakiwa kufanya nae tendo siku hiyo, akaniambia hatokuja kuzaa tena halafu wamemwonea pia ili mimba ile iendelee kuwepo ningewasikiliza mizimu kwavile niliamua kufanya tendo nilikaidi ndiyo maana ujauzito ulitolewa.
alianza kujiagua kwa waganga wa kienyej hatimae nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mtafaruko wa kindoa akiwa kapanga nam nikiwa nyumban(alikuwa anakuja na kuondoka)
baadae aliamua kutokurudi kabisa na kuamua kupanga na kulea ujauzito huko aliko
swali je nitumie njia gan arud au ni nn kinachofanyika kisiri?
ushauri tafadhali kwa wanaojua kiundani.